Ufalme wa Mungu Unatawala!
Mamilioni ya watu wamepata furaha, wamekuwa na maisha ya amani kwa kuongozwa na serikali kamilifu ya Mungu. Je, wewe ungependa kuwa raia wa Ufalme huo?
Barua ya Baraza Lenye Kuongoza
Namna gani tangazo lenye kufurahisha ambalo Ndugu C. T. Russell alitoa tarehe 2 Mwezi wa 10, 1914 limeonekana kuwa la kweli?
SURA YA 1
‘Ufalme Wako Uje’
Yesu alifundisha habari kuhusu Ufalme wa Mungu zaidi ya habari zingine. Utakuja kufanya nini na utakuja wakati gani?
SURA YA 2
Kuzaliwa Kwa Ufalme Mbinguni
Ni nani aliwatayarisha watu wa Kristo duniani kwa ajili ya Ufalme? Ni mambo gani yanayoonyesha kwamba Ufalme ni serikali ya kweli kabisa?
SURA YA 3
Yehova Anafunua Kusudi Lake
Ufalme ulikuwa katika kusudi la Mungu la kwanza? Namna gani Yesu alifunua kweli juu ya Ufalme?
SURA YA 4
Yehova Analitukuza Jina Lake
Ufalme umetimiza nini juu ya jina la Mungu? Unaweza kufanya nini ili kulitakasa jina la Yehova?
SURA YA 5
Mufalme Anafunua Kweli Mbalimbali Juu ya Ufalme
Soma ili uelewe vizuri juu ya Ufalme wa Mungu, juu ya wale ambao watatawala katika ufalme huo, juu ya wale ambao watakuwa raia, na mambo mutu anapaswa kufanya ili kuonyesha kwamba anashikamana na Ufalme.
SURA YA 6
Watu Wanaofanya Kazi ya Kuhubiri—Wahubiri Wanajitoa Kwa Kupenda
Sababu gani Yesu alitumaini kabisa kwamba katika siku za mwisho atakuwa na jeshi la wahubiri wenye kujitoa kwa kupenda? Namna gani unaweza kuonyesha kwamba unaendelea kutafuta kwanza Ufalme?
SURA YA 7
Njia Mbalimbali Zilizotumiwa Ili Kuhubiri—Kutumia Kila Njia Ili Kuhubiria Watu
Jifunze juu ya ufundi mupya ambao watu wa Mungu wametumia ili kuhubiria watu wengi habari njema kadiri inavyowezekana mbele ya mwisho kuja.
SURA YA 8
Vyombo kwa Ajili ya Kazi ya Kuhubiri—Vichapo kwa Ajili ya Kazi ya Kuhubiri Duniani Pote
Sababu gani tunaweza kusema kwamba kazi yetu ya kutafsiri inategemezwa na Yesu? Ni mambo gani juu ya vichapo vyetu yanaonyesha kwamba Ufalme wa Mungu ni jambo la kweli?
SURA YA 9
Matokeo ya Kazi ya Kuhubiri: ‘Mashamba Yamekuwa Meupe, Tayari kwa Mavuno”
Yesu alifundisha mitume wake mambo mbili ya lazima kuhusu mavuno ya kiroho. Namna gani mambo hayo yanatuchochea leo?
SECTION YA 3
Kanuni za Ufalme—Kuendelea Kutafuta Haki ya Mungu
SURA YA 11
Mwenendo Safi Unaonyesha Utakatifu wa Mungu
Mahali walinzi walikuwa wanasimama katika hekalu ambalo Ezekieli aliona na njia ya kuingilia imekuwa na maana ya pekee kwa watu wa Mungu tangu mwaka wa 1914.
SURA YA 12
Tengenezo Linalotumikia “Mungu wa Amani”
Biblia haiseme kwamba muchafuko haupatane na utaratibu, lakini inaonyesha kwamba muchafuko haupatane na amani. Sababu gani?Namna gani jambo hilo linatimia kwa Wakristo leo?
SURA YA 13
Wahubiri Wa Ufalme Wanajitetea Kwenye Tribinali
Waamuzi fulani wa wakati wetu wana maoni kama ya mwalimu wa sheria wa zamani Gamalieli.
SURA YA 14
Waliunga Mukono kwa Ushikamanifu Serikali ya Mungu Tu
Ule “muto” ambao unafananishwa na mateso ambao ulitaka kuangamiza Mashahidi wa Yehova kwa sababu walikataa kujiingiza katika mambo ya siasa ulimezwa kwa njia ambayo haikutazamiwa.
SURA YA 15
Kupigania Uhuru wa Kuabudu
Watu wa Mungu wamepigania haki ya kutii sheria— sheria za Ufalme wa Mungu.
SURA YA 16
Kukusanyika Pamoja kwa Ajili ya Ibada
Namna gani tunaweza kufaidika zaidi wakati tunakusanyika ili kumuabudu Yehova?
SURA YA 17
Wahubiri wa Ufalme Wanapewa Mazoezi
Namna gani masomo mbalimbali ya kiteokrasi yametayarisha wahubiri wa Ufalme kutimiza migao yao?
SURA YA 18
Feza za Kuendesha Kazi za Ufalme Zinatoka Wapi?
Feza zinatoka wapi? Zinatumiwa namna gani?
SURA YA 19
Kazi ya Ujenzi Ambayo Inamuletea Yehova Heshima
Majumba ya ibada inamuletea Mungu heshima, lakini kuna jambo lingine ambalo anaona kuwa la maana zaidi.
SURA YA 20
Kazi ya Kutolea Ndugu Misaada Wakati wa Magumu
Namna gani tunajua kwamba kazi ya kutolea ndugu misaada wakati wa magumu ni sehemu ya utumishi wetu mutakatifu kwa Yehova?
SEHEMU YA 7
Ahadi za Ufalme—Kufanya Mambo Yote Kuwa Mapya
SURA YA 21
Ufalme Wa Mungu Unaondoa Maadui Wake
Unaweza kujitayarisha kwa ajili ya vita ya Har-magedoni.
SURA YA 22
Ufalme Unatimiza Mapenzi ya Mungu Duniani
Nini inakupatia uhakika kwamba ahadi za Yehova zitatimia?