Ufalme wa Mungu Unatawala!

Mamilioni ya watu wamepata furaha, wamekuwa na maisha ya amani kwa kuongozwa na serikali kamilifu ya Mungu. Je, wewe ungependa kuwa raia wa Ufalme huo?

Barua ya Baraza Lenye Kuongoza

Namna gani tangazo lenye kufurahisha ambalo Ndugu C. T. Russell alitoa tarehe 2 Mwezi wa 10, 1914 limeonekana kuwa la kweli?

SURA YA 1

‘Ufalme Wako Uje’

Yesu alifundisha habari kuhusu Ufalme wa Mungu zaidi ya habari zingine. Utakuja kufanya nini na utakuja wakati gani?

SURA YA 2

Kuzaliwa Kwa Ufalme Mbinguni

Ni nani aliwatayarisha watu wa Kristo duniani kwa ajili ya Ufalme? Ni mambo gani yanayoonyesha kwamba Ufalme ni serikali ya kweli kabisa?

SURA YA 3

Yehova Anafunua Kusudi Lake

Ufalme ulikuwa katika kusudi la Mungu la kwanza? Namna gani Yesu alifunua kweli juu ya Ufalme?

SURA YA 4

Yehova Analitukuza Jina Lake

Ufalme umetimiza nini juu ya jina la Mungu? Unaweza kufanya nini ili kulitakasa jina la Yehova?

SURA YA 5

Mufalme Anafunua Kweli Mbalimbali Juu ya Ufalme

Soma ili uelewe vizuri juu ya Ufalme wa Mungu, juu ya wale ambao watatawala katika ufalme huo, juu ya wale ambao watakuwa raia, na mambo mutu anapaswa kufanya ili kuonyesha kwamba anashikamana na Ufalme.

SURA YA 6

Watu Wanaofanya Kazi ya Kuhubiri—Wahubiri Wanajitoa Kwa Kupenda

Sababu gani Yesu alitumaini kabisa kwamba katika siku za mwisho atakuwa na jeshi la wahubiri wenye kujitoa kwa kupenda? Namna gani unaweza kuonyesha kwamba unaendelea kutafuta kwanza Ufalme?

SURA YA 7

Njia Mbalimbali Zilizotumiwa Ili Kuhubiri​—Kutumia Kila Njia Ili Kuhubiria Watu

Jifunze juu ya ufundi mupya ambao watu wa Mungu wametumia ili kuhubiria watu wengi habari njema kadiri inavyowezekana mbele ya mwisho kuja.

SURA YA 8

Vyombo kwa Ajili ya Kazi ya Kuhubiri—Vichapo kwa Ajili ya Kazi ya Kuhubiri Duniani Pote

Sababu gani tunaweza kusema kwamba kazi yetu ya kutafsiri inategemezwa na Yesu? Ni mambo gani juu ya vichapo vyetu yanaonyesha kwamba Ufalme wa Mungu ni jambo la kweli?

SURA YA 9

Matokeo ya Kazi ya Kuhubiri: ‘Mashamba Yamekuwa Meupe, Tayari kwa Mavuno”

Yesu alifundisha mitume wake mambo mbili ya lazima kuhusu mavuno ya kiroho. Namna gani mambo hayo yanatuchochea leo?

SURA YA 10

Mufalme Anasafisha Wafuasi Wake Kiroho

Ni upatano gani ulio kati ya Noeli na musalaba?

SURA YA 11

Mwenendo Safi Unaonyesha Utakatifu wa Mungu

Mahali walinzi walikuwa wanasimama katika hekalu ambalo Ezekieli aliona na njia ya kuingilia imekuwa na maana ya pekee kwa watu wa Mungu tangu mwaka wa 1914.

SURA YA 12

Tengenezo Linalotumikia “Mungu wa Amani”

Biblia haiseme kwamba muchafuko haupatane na utaratibu, lakini inaonyesha kwamba muchafuko haupatane na amani. Sababu gani?Namna gani jambo hilo linatimia kwa Wakristo leo?

SURA YA 13

Wahubiri Wa Ufalme Wanajitetea Kwenye Tribinali

Waamuzi fulani wa wakati wetu wana maoni kama ya mwalimu wa sheria wa zamani Gamalieli.

SURA YA 14

Waliunga Mukono kwa Ushikamanifu Serikali ya Mungu Tu

Ule “muto” ambao unafananishwa na mateso ambao ulitaka kuangamiza Mashahidi wa Yehova kwa sababu walikataa kujiingiza katika mambo ya siasa ulimezwa kwa njia ambayo haikutazamiwa.

SURA YA 15

Kupigania Uhuru wa Kuabudu

Watu wa Mungu wamepigania haki ya kutii sheria— sheria za Ufalme wa Mungu.

SURA YA 16

Kukusanyika Pamoja kwa Ajili ya Ibada

Namna gani tunaweza kufaidika zaidi wakati tunakusanyika ili kumuabudu Yehova?

SURA YA 17

Wahubiri wa Ufalme Wanapewa Mazoezi

Namna gani masomo mbalimbali ya kiteokrasi yametayarisha wahubiri wa Ufalme kutimiza migao yao?

SURA YA 18

Feza za Kuendesha Kazi za Ufalme Zinatoka Wapi?

Feza zinatoka wapi? Zinatumiwa namna gani?

SURA YA 19

Kazi ya Ujenzi Ambayo Inamuletea Yehova Heshima

Majumba ya ibada inamuletea Mungu heshima, lakini kuna jambo lingine ambalo anaona kuwa la maana zaidi.

SURA YA 20

Kazi ya Kutolea Ndugu Misaada Wakati wa Magumu

Namna gani tunajua kwamba kazi ya kutolea ndugu misaada wakati wa magumu ni sehemu ya utumishi wetu mutakatifu kwa Yehova?

SURA YA 21

Ufalme Wa Mungu Unaondoa Maadui Wake

Unaweza kujitayarisha kwa ajili ya vita ya Har-magedoni.

SURA YA 22

Ufalme Unatimiza Mapenzi ya Mungu Duniani

Nini inakupatia uhakika kwamba ahadi za Yehova zitatimia?