Ona video zinazopatikana

Ona habari zilizo ndani

SEHEMU YA 10

Watu Wenye Wanamusikiliza Mungu Watapata Baraka Gani?

Watu Wenye Wanamusikiliza Mungu Watapata Baraka Gani?

Watu wengi wenye wamekufa watafufuliwa ili waishi ku dunia. Matendo 24:15

Wazia baraka zenye utapata wakati wenye kuja kama unamusikiliza Yehova! Utakuwa na afya kamilifu; hakuna mutu mwenye atagonjwa tena ao kuwa na uzaifu fulani wa mwili. Hakutakuwa tena watu wabaya na utatumainia kila mutu.

Hakutakuwa maumivu, huzuni, ao machozi. Hakuna mutu mwenye atazeeka na kufa.

Utazungukwa na marafiki na watu wa familia. Mu Paradiso, maisha itakuwa yenye furaha kabisa.

Hakutakuwa kitu cha kuogopesha. Watu watakuwa wenye furaha kabisa.

Ufalme wa Mungu utamaliza mateso yote. Ufunuo 21:3, 4