Utangulizi
Lazima umupende Yehova Mungu wako kwa moyo wako wote, kwa nafsi yako yote, na kwa nguvu zako zote. Na maneno haya ninayokuamuru leo yanapashwa kuwa katika moyo wako; na uyakazie kwa watoto wako na kuyasema wakati unakaa katika nyumba yako, wakati unatembea barabarani, wakati unalala na wakati unaamuka.—KUMBUKUMBU LA TORATI 6:5-7.