Ona video zinazopatikana

Ona habari zilizo ndani

SEHEMU YA 2

Mwanzo wa Utumishi wa Yesu

‘Ona, Mwana-Kondoo wa Mungu Mwenye Anatosha Zambie.’​—Yohana 1:29

Mwanzo wa Utumishi wa Yesu

KATIKA SEHEMU HII

SURA YA 12

Yesu Anabatizwa

Sababu gani Yesu anabatizwa hata kama hajafanyaka zambi?

SURA YA 13

Mambo Tunaweza Kujifunza Kupitia Namna Yesu Alipambana na Majaribu

Majaribu yenye Yesu alipata yanaonyesha mambo mbili ya musingi juu ya Ibilisi.

SURA YA 14

Yesu Anaanza Kufanya Wanafunzi

Ni nini ilisadikishia wanafunzi sita wa kwanza wa Yesu kwamba wamepata Masiya?

SURA YA 15

Anafanya Muujiza Wake wa Kwanza

Yesu anamuambia mama yake kama haiko yeye ndiye anamuongoza kwa sasa, lakini anaongozwa na Baba yake wa mbinguni.

SURA YA 16

Yesu Anaonyesha Bidii kwa Ajili ya Ibada ya Kweli

Sheria ya Mungu iliruhusu watu kuuza wanyama katika Yerusalemu kwa ajili ya toleo, sasa, sababu gani Yesu anakasirikia wafanyabiashara katika hekalu?

SURA YA 17

Anafundisha Nikodemo Wakati wa Usiku

“Kuzaliwa tena,” maana yake nini?

SURA YA 18

Yesu Anaongezeka na Yohana Anapunguka

Wanafunzi wa Yohana Mubatizaji wako na wivu, hata kama Yohana yeye hana wivu.

SURA YA 19

Anafundisha Mwanamuke Musamaria

Yesu anamuambia mwanamuke huyo jambo lenye pengine hajaambia mutu yeyote.