Hamia kwenye habari

Habari

 

TAARIFA ZA HABARI

Ripoti ya 5 ya Baraza Linaloongoza ya 2024

Katika ripoti hii, tutachunguza jinsi tunavyoweza kuendelea kukazia fikira Ufalme wa Mungu kuwa suluhisho la kweli la matatizo ya wanadamu.

TAARIFA ZA HABARI

Ripoti ya 5 ya Baraza Linaloongoza ya 2024

Katika ripoti hii, tutachunguza jinsi tunavyoweza kuendelea kukazia fikira Ufalme wa Mungu kuwa suluhisho la kweli la matatizo ya wanadamu.

Ripoti ya 4 ya Baraza Linaloongoza ya 2024

Katika ripoti hii tutachunguza jinsi ndugu na dada waliofungwa kwa sababu ya imani yao wanavyoendelea “kuushinda uovu kwa wema.”—Waroma 12:21.

Ripoti ya 3 ya Baraza Linaloongoza ya 2024

Katika ripoti hii, tutachunguza kanuni za Biblia zinazotuongoza tunapofanya maamuzi kuhusu mavazi na mapambo.

2024-08-22

HABARI ZA ULIMWENGUNI POTE

Ripoti ya 2 ya Baraza Linaloongoza ya 2024

Katika ripoti hii, tutachunguza jinsi Baba yetu mwenye upendo, Yehova, anavyoonyesha kwamba ‘anataka wote wafikie toba.” (2 Pet. 3:9) Pia tutajifunza kuhusu marekebisho kuhusu mavazi yetu kwenye matukio ya kitheokrasi.

2024-08-22

HABARI ZA ULIMWENGUNI POTE

Ripoti ya 1 ya Baraza Linaloongoza ya 2024

Jifunze jinsi kuwapenda watu kunavyotufanya tuwe na bidii katika huduma yetu.

2024-08-22

HABARI ZA ULIMWENGUNI POTE

Ripoti ya 8 ya Baraza Linaloongoza ya 2023

Jifunze jinsi tunavyoweza kujipendekeza kuwa wahudumu wa Mungu kupitia maamuzi tunayofanya kuhusu mavazi na mapambo na jinsi tunavyoweza kuendeleza umoja kutanikoni.

2024-08-22

HABARI ZA ULIMWENGUNI POTE

Ripoti ya 7 ya Baraza Linaloongoza ya 2023

Jifunze kuhusu chapisho jipya lenye kichwa Maandiko kwa Ajili ya Maisha ya Mkristo na pia andiko la mwaka wa 2024.

2024-08-22

HABARI ZA ULIMWENGUNI POTE

Ripoti ya 6 ya Baraza Linaloongoza ya 2023

Katika ripoti hii, mshiriki wa Baraza Linaloongoza anashiriki mahojiano yenye kutia moyo ya Negede Teklemariam.

2024-08-22

HABARI ZA ULIMWENGUNI POTE

Ripoti ya 5 ya Baraza Linaloongoza ya 2023

Katika ripoti hii, mshiriki wa Baraza Linaloongoza anashiriki mahojiano yenye kutia moyo ya Dennis na Irina Christensen.

2024-08-22

HABARI ZA ULIMWENGUNI POTE

Ripoti ya 4 ya Baraza Linaloongoza ya 2023

Katika ripoti hii, mshiriki wa Baraza Linaloongoza anachochea hamu yetu ya kuhudhuria makusanyiko uso kwa uso na pia anazungumzia jinsi Yehova anavyowalinda watu wake.

2024-08-22

HABARI ZA ULIMWENGUNI POTE

Ripoti ya 3 ya Baraza Linaloongoza ya 2023

Mshiriki wa Baraza Linaloongoza anasimulia jinsi ndugu na dada zetu wanavyomfanya Yehova kuwa kimbilio lao licha ya majaribu au misiba.

2024-08-22

HABARI ZA ULIMWENGUNI POTE

Ripoti ya 2 ya Baraza Linaloongoza ya 2023

Mshiriki wa Baraza Linaloongoza anaeleza habari za karibuni zaidi kuhusu ndugu zetu nchini Uturuki na pia kuna mahojiano yenye kutia moyo.

2024-08-22

HABARI ZA ULIMWENGUNI POTE

Ripoti ya 1 ya Baraza Linaloongoza ya 2023

Tunakutia moyo kutazama ripoti hii ili usikie matangazo yenye kusisimua kuhusu mradi wa Ramapo na kuhusu utendaji wa mapainia wetu.

2024-08-22

URUSI

Mahojiano Pamoja na Ndugu Dmitriy Mikhaylov

Ndugu Mikhaylov alikamatwa Mei 29, 2018. Alikaa kizuizini kwa miezi kadhaa. Katika mahojiano, anasimulia jinsi alivyovumilia kwa msaada wa Yehova, na pia wa mke wake mwaminifu. Pia anaeleza jinsi kuwaeleza wafungwa wengine kweli za Biblia kulivyomsaidia kudumisha amani na shangwe yake.

2024-08-22

ITALIA

Mahojiano na Profesa Massimo P. Franchi

“Ninathamini kwamba nimekutana na Mashahidi wa Yehova katika taaluma yangu. Wamenifanya mimi nikiwa daktari anayetumia mbinu za kawaida za tiba, kuanza kuchunguza uwezekano na umuhimu wa kupunguza matumizi ya damu.”