Italia
Mahojiano na Profesa Massimo P. Franchi
“Ninathamini kwamba nimekutana na Mashahidi wa Yehova katika taaluma yangu. Wamenifanya mimi nikiwa daktari anayetumia mbinu za kawaida za tiba, kuanza kuchunguza uwezekano na umuhimu wa kupunguza matumizi ya damu.”