Habari za Ulimwenguni Pote
Ripoti ya 5 ya Baraza Linaloongoza ya 2024
Katika ripoti hii, tutachunguza jinsi tunavyoweza kuendelea kukazia fikira Ufalme wa Mungu kuwa suluhisho la kweli la matatizo ya wanadamu.
Ripoti ya 4 ya Baraza Linaloongoza ya 2024
Katika ripoti hii tutachunguza jinsi ndugu na dada waliofungwa kwa sababu ya imani yao wanavyoendelea “kuushinda uovu kwa wema.”—Waroma 12:21.
Ripoti ya 3 ya Baraza Linaloongoza ya 2024
Katika ripoti hii, tutachunguza kanuni za Biblia zinazotuongoza tunapofanya maamuzi kuhusu mavazi na mapambo.
Ripoti ya 2 ya Baraza Linaloongoza ya 2024
Katika ripoti hii, tutachunguza jinsi Baba yetu mwenye upendo, Yehova, anavyoonyesha kwamba ‘anataka wote wafikie toba.” (2 Pet. 3:9) Pia tutajifunza kuhusu marekebisho kuhusu mavazi yetu kwenye matukio ya kitheokrasi.
Ripoti ya 1 ya Baraza Linaloongoza ya 2024
Jifunze jinsi kuwapenda watu kunavyotufanya tuwe na bidii katika huduma yetu.
Ripoti ya 8 ya Baraza Linaloongoza ya 2023
Jifunze jinsi tunavyoweza kujipendekeza kuwa wahudumu wa Mungu kupitia maamuzi tunayofanya kuhusu mavazi na mapambo na jinsi tunavyoweza kuendeleza umoja kutanikoni.
Ripoti ya 7 ya Baraza Linaloongoza ya 2023
Jifunze kuhusu chapisho jipya lenye kichwa Maandiko kwa Ajili ya Maisha ya Mkristo na pia andiko la mwaka wa 2024.
Ripoti ya 6 ya Baraza Linaloongoza ya 2023
Katika ripoti hii, mshiriki wa Baraza Linaloongoza anashiriki mahojiano yenye kutia moyo ya Negede Teklemariam.
Ripoti ya 5 ya Baraza Linaloongoza ya 2023
Katika ripoti hii, mshiriki wa Baraza Linaloongoza anashiriki mahojiano yenye kutia moyo ya Dennis na Irina Christensen.
Ripoti ya 4 ya Baraza Linaloongoza ya 2023
Katika ripoti hii, mshiriki wa Baraza Linaloongoza anachochea hamu yetu ya kuhudhuria makusanyiko uso kwa uso na pia anazungumzia jinsi Yehova anavyowalinda watu wake.
Ripoti ya 3 ya Baraza Linaloongoza ya 2023
Mshiriki wa Baraza Linaloongoza anasimulia jinsi ndugu na dada zetu wanavyomfanya Yehova kuwa kimbilio lao licha ya majaribu au misiba.
Ripoti ya 2 ya Baraza Linaloongoza ya 2023
Mshiriki wa Baraza Linaloongoza anaeleza habari za karibuni zaidi kuhusu ndugu zetu nchini Uturuki na pia kuna mahojiano yenye kutia moyo.
Ripoti ya 1 ya Baraza Linaloongoza ya 2023
Tunakutia moyo kutazama ripoti hii ili usikie matangazo yenye kusisimua kuhusu mradi wa Ramapo na kuhusu utendaji wa mapainia wetu.