Hamia kwenye habari

APRILI 17, 2023
HABARI ZA ULIMWENGUNI POTE

Ripoti ya 3 ya Baraza Linaloongoza ya 2023

Ripoti ya 3 ya Baraza Linaloongoza ya 2023

Katika ripoti hii, mshiriki wa Baraza Linaloongoza anasimulia habari za karibuni kutoka Ujerumani, Afrika Mashariki, na Bahamas zinazoonyesha jinsi ndugu na dada zetu wanavyomfanya Yehova kuwa kimbilio lao.