Sayansi na Biblia
Je, Biblia inapatana na sayansi? Biblia inapozungumzia masuala ya kisayansi, je, ni sahihi? Chunguza kile ambacho vitu vya asili vinaonyesha na yale ambayo wanasayansi wanaovichunguza wanasema kuvihusu.
Je, Biblia inapatana na sayansi? Biblia inapozungumzia masuala ya kisayansi, je, ni sahihi? Chunguza kile ambacho vitu vya asili vinaonyesha na yale ambayo wanasayansi wanaovichunguza wanasema kuvihusu.