children

HADITHI ZA BIBLIA ZILIZOCHORWA

TAZAMA ZOTE

Yehova Ampa Sulemani Hekima

Sulemani alikuwa mfalme mwenye hekima zaidi kuliko wafalme wengine wote duniani. Sulemani alipataje hekima hiyo? Alifanya makosa gani baadaye?

HADITHI ZA BIBLIA ZILIZOCHORWA

TAZAMA ZOTE

Yehova Husamehe kwa Hiari

Mfalme Manase alifanya uchawi, akaabudu miungu ya uwongo, na kuwaua watu wasio na hatia. Lakini Yehova alikuwa tayari kumsamehe. Simulizi hilo linatufundisha nini kuhusu msamaha?