Hamia kwenye habari

KADI ZA WAHUSIKA KATIKA BIBLIA

Farao (1513 K.W.K.)

Pakua kadi hii ya mhusika katika Biblia, na ujifunze kuhusu Farao wa Misri ambaye kwa ukaidi alikataa kumsikiliza Yehova. Chapisha, kata, kunja katikati, na uhifadhi.