Hamia kwenye habari

KADI ZA WAHUSIKA KATIKA BIBLIA

Potifa

Pakua na uchapishe kadi hii ya Biblia na ujifunze kumhusu Potifa, Mmisri aliyemnunua Yosefu ili awe mtumwa wake. Chapisha, kata, kunja katikati, na uhifadhi kadi hii.