Uwe Mhubiri Ambaye Hajabatizwa
Je, mtoto wako anajua anachohitaji kufanya ili kuwa mhubiri ambaye hajabatizwa? Zoezi hili litawasaidia.
Wazazi someni Mathayo 21:16 pamoja na watoto wenu kisha mzungumze kuihusu.
Pakua zoezi hili na kulichapisha.
Je, mtoto wako anaweza kustahili kuwa mhubiri ambaye hajabatizwa? Tumia mojawapo ya habari zilizoonyeshwa hapa chini katika sehemu fulani ya ibada yenu ya familia. (1) Tazameni video iliyopendekezwa. (2) Fanyeni zoezi lililopendekezwa. (3) Jibuni swali lililoulizwa au mkamilishe zoezi lililopendekezwa. Tumieni madaftari yaliyo chini kama njia ya kujikumbusha mmekamilisha mambo mangapi.
Huenda Ukapenda Pia
MAFUNDISHO YA BIBLIA
Mazoezi ya Watoto
Tumia mazoezi haya yenye kufurahisha yanayotegemea Biblia kuwafundisha watoto wako kanuni za kiroho.