Hamia kwenye habari

Hamia kwenye yaliyomo

A7-G

Matukio Muhimu Katika Maisha ya Yesu Duniani—Huduma ya Mwisho ya Yesu Kule Yerusalemu (Sehemu ya 1)

WAKATI

MAHALI

TUKIO

MATHAYO

MARKO

LUKA

YOHANA

33, Nisani 8

Bethania

Yesu awasili siku sita kabla ya Pasaka

     

11:55–12:1

Nisani 9

Bethania

Maria ammiminia Yesu mafuta kichwani na miguuni

26:6-13

14:3-9

 

12:2-11

Bethania-Bethfage-Yerusalemu

Aingia Yerusalemu kwa ushindi, akiwa juu ya punda

21:1-11, 14-17

11:1-11

19:29-44

12:12-19

Nisani 10

Bethania-Yerusalemu

Aulaani mtini; alisafisha hekalu tena

21:18, 19; 21:12, 13

11:12-17

19:45, 46

 

Yerusalemu

Makuhani wakuu na waandishi wapanga njama ya kumuua Yesu

 

11:18, 19

19:47, 48

 

Yehova azungumza; Yesu atabiri kifo chake; kutoamini kwa Wayahudi kwatimiza unabii wa Isaya

     

12:20-50

Nisani 11

Bethania-Yerusalemu

Somo la mtini ulionyauka

21:19-22

11:20-25

   

Yerusalemu, hekalu

Mamlaka yake yatiliwa shaka; mfano wa wana wawili

21:23-32

11:27-33

20:1-8

 

Mifano ya wakulima wauaji wa shamba la mizabibu, karamu ya ndoa

21:33–22:14

12:1-12

20:9-19

 

Ajibu maswali kumhusu Mungu na Kaisari, ufufuo, sheria iliyo kuu zaidi

22:15-40

12:13-34

20:20-40

 

Auuliza umati ikiwa Kristo ni mwana wa Daudi

22:41-46

12:35-37

20:41-44

 

Ole kwa waandishi na Mafarisayo

23:1-39

12:38-40

20:45-47

 

Aona mchango wa mjane

 

12:41-44

21:1-4

 

Mlima wa Mizeituni

Ataja ishara ya kuwapo kwake wakati ujao

24:1-51

13:1-37

21:5-38

 

Mifano ya mabikira kumi, talanta, kondoo na mbuzi

25:1-46

     

Nisani 12

Yerusalemu

Viongozi Wayahudi wapanga njama ya kumuua

26:1-5

14:1, 2

22:1, 2

 

Yuda apanga jinsi atakavyomsaliti

26:14-16

14:10, 11

22:3-6

 

Nisani 13 (Alhamisi alasiri)

Akiwa Yerusalemu na maeneo ya karibu

Matayarisho ya Pasaka ya mwisho

26:17-19

14:12-16

22:7-13

 

Nisani 14

Yerusalemu

Ala Pasaka pamoja na mitume wake

26:20, 21

14:17, 18

22:14-18

 

Awaosha mitume wake miguu

     

13:1-20