Hamia kwenye habari

Hamia kwenye yaliyomo

A6-B

Chati: Manabii na Wafalme wa Yuda na Israeli (Sehemu ya 2)

Wafalme wa Ufalme wa Kusini (Imeendelezwa)

777 K.W.K.

Yothamu: Miaka 16

762

Ahazi: Miaka 16

746

Hezekia: Miaka 29

716

Manase: Miaka 55

661

Amoni: Miaka 2

659

Yosia: Miaka 31

628

Yehoahazi: Miezi 3

Yehoyakimu: Miaka 11

618

Yehoyakini: Miezi 3, siku 10

617

Sedekia: Miaka 11

607

Jiji la Yerusalemu na hekalu lake laharibiwa na majeshi ya Wababiloni yakiongozwa na Nebukadneza. Sedekia, mfalme wa mwisho wa kidunia katika ukoo wa Daudi, aondolewa mamlakani

Wafalme wa Ufalme wa Kaskazini (Imeendelezwa)

Karibu 803 K.W.K.

Zekaria: Miezi 6 kulingana na rekodi

Zekaria alianza kutawala kwa kadiri fulani, lakini inaonekana utawala wake haukuwa rasmi kabisa hadi karibu 792

Karibu 791

Shalumu: Mwezi 1

Menahemu: Miaka 10

Karibu 780

Pekahiya: Miaka 2

Karibu 778

Peka: Miaka 20

Karibu 758

Hoshea: Miaka 9 kuanzia karibu 748

Karibu 748

Inaelekea kwamba utawala wa Hoshea ulianza rasmi au labda aliungwa mkono na mfalme wa Ashuru aitwaye Tiglath-pileseri wa Tatu karibu 748

740

Waashuru wavamia Samaria, washinda Israeli; ufalme wa makabila kumi wa Israeli wafikia mwisho wake

  • Orodha ya Manabii

  • Isaya

  • Mika

  • Sefania

  • Yeremia

  • Nahumu

  • Habakuki

  • Danieli

  • Ezekieli

  • Obadia

  • Hosea