Hamia kwenye habari

Hamia kwenye yaliyomo

A7-B

Matukio Muhimu Katika Maisha ya Yesu Duniani—Mwanzo wa Huduma ya Yesu

WAKATI

MAHALI

TUKIO

MATHAYO

MARKO

LUKA

YOHANA

29, majira ya kupukutika

Mto Yordani, ng’ambo ya Yordani karibu na au huko Bethania

Yesu abatizwa na kutiwa mafuta; Yehova atangaza kwamba Yesu ni mwanawe na kumkubali

3:13-17

1:9-11

3:21-38

1:32-34

Nyika ya Yudea

Ajaribiwa na Ibilisi

4:1-11

1:12, 13

4:1-13

 

Bethania ng’ambo ya Yordani

Yohana Mbatizaji amtambulisha Yesu kuwa Mwana-Kondoo wa Mungu; wanafunzi wa kwanza wajiunga na Yesu

     

1:15, 29-51

Kana ya Galilaya; Kapernaumu

Muujiza wa kwanza kwenye harusi, Yesu ageuza maji kuwa divai; atembelea Kapernaumu

     

2:1-12

30, Pasaka

Yerusalemu

Asafisha hekalu

     

2:13-25

Azungumza na Nikodemo

     

3:1-21

Yudea; Ainoni

Yesu atembelea eneo la Yudea, wanafunzi wake wabatiza watu; ushahidi wa mwisho wa Yohana kumhusu Yesu

     

3:22-36

Tiberia; Yudea

Yohana afungwa gerezani; Yesu aondoka kuelekea Galilaya

4:12; 14:3-5

6:17-20

3:19, 20

4:1-3

Sikari, eneo la Samaria

Akiwa njiani kwenda Galilaya, afundisha Wasamaria

     

4:4-43

Nyika ya Yudea