Hamia kwenye habari

Hamia kwenye yaliyomo

SWALI LA 8

Je, Mungu Ndiye Chanzo cha Mateso Yanayotupata?

“Mungu wa kweli hawezi kamwe kuwazia kutenda uovu, na Mweza-Yote hawezi kamwe kutenda kosa!”

Ayubu 34:⁠10

“Mtu akiwa chini ya jaribu, asiseme: ‘Mungu ananijaribu.’ Kwa maana Mungu hawezi kujaribiwa na mambo maovu, wala yeye mwenyewe hamjaribu yeyote.”

Yakobo 1:​13

“[Tupeni] mahangaiko yenu yote juu yake, kwa sababu yeye anawajali ninyi.”

1 Petro 5:7

“Yehova hakawii kuhusiana na ahadi yake, kama watu fulani wanavyodhani, bali ni mwenye subira kwenu kwa sababu hataki yeyote aangamizwe bali hutaka wote wafikie toba.”

2 Petro 3:9