Hamia kwenye habari

Hamia kwenye yaliyomo

SWALI LA 19

Vitabu vya Biblia Vina Ujumbe Gani?

MAANDIKO YA KIEBRANIA (“AGANO LA KALE”)

PENTATEUKI (VITABU 5):

Mwanzo, Kutoka, Mambo ya Walawi, Hesabu, Kumbukumbu la Torati

Kuanzia uumbaji mpaka kuanzishwa kwa taifa la kale la Israeli

VITABU VYA KIHISTORIA (VITABU 12):

Yoshua, Waamuzi, Ruthu

Kuanzia wakati Waisraeli walipoingia katika Nchi ya Ahadi na matukio yaliyofuata

1 na 2 Samweli, 1 na 2 Wafalme, 1 na 2 Mambo ya Nyakati

Historia ya taifa la Israeli kufikia kuharibiwa kwa Yerusalemu

Ezra, Nehemia, Esta

Historia ya Wayahudi baada ya kurudi kutoka utekwani Babiloni

VITABU VYA MASHAIRI (VITABU 5):

Ayubu, Zaburi, Methali, Mhubiri, Wimbo wa Sulemani

Mkusanyo wa maneno ya hekima na nyimbo

VITABU VYA UNABII (VITABU 17):

Isaya, Yeremia, Maombolezo, Ezekieli, Danieli, Hosea, Yoeli, Amosi, Obadia, Yona, Mika, Nahumu, Habakuki, Sefania, Hagai, Zekaria, Malaki

Unabii, au utabiri unaohusu watu wa Mungu

 

MAANDIKO YA KIGIRIKI YA KIKRISTO (“AGANO JIPYA”)

VITABU VINNE VYA INJILI (VITABU 4):

Mathayo, Marko, Luka, Yohana

Historia ya maisha na huduma ya Yesu

MATENDO YA MITUME (KITABU 1):

Historia ya mwanzo wa kutaniko la Kikristo na kazi ya kuhubiri

BARUA (VITABU 21):

Waroma, 1 na 2 Wakorintho, Wagalatia, Waefeso, Wafilipi, Wakolosai, 1 na 2 Wathesalonike

Barua zilizotumwa kwa makutaniko mbalimbali ya Kikristo

1 na 2 Timotheo, Tito, Filemoni

Barua zilizotumwa kwa Mkristo mmoja-mmoja

Waebrania, Yakobo, 1 na 2 Petro, 1, 2, na 3 Yohana, Yuda

Barua zilizotumwa kwa Wakristo kwa ujumla

UFUNUO (KITABU 1):

Mfuatano wa maono ya unabii aliyopewa mtume Yohana