Kitabu cha Kwanza cha Mambo ya Nyakati 1:1-54

  • Kuanzia Adamu mpaka Abrahamu (1-27)

  • Wazao wa Abrahamu (28-37)

  • Waedomu na wafalme wao na mashehe wao (38-54)

1  Adamu,Sethi,+Enoshi,  Kenani,Mahalaleli,+Yaredi,+  Enoko,+Methusela,Lameki,+  Noa,+Shemu,+ Hamu, na Yafethi.+  Wana wa Yafethi walikuwa Gomeri, Magogu, Madai, Yavani, Tubali,+ Mesheki,+ na Tirasi.+  Wana wa Gomeri walikuwa Ashkenazi, Rifathi, na Togarma.+  Wana wa Yavani walikuwa Elisha, Tarshishi, Kitimu, na Rodanimu.  Wana wa Hamu walikuwa Kushi,+ Misraimu, Putu, na Kanaani.+  Wana wa Kushi walikuwa Seba,+ Havila, Sabta, Raama,+ na Sabteka. Wana wa Raama walikuwa Sheba na Dedani.+ 10  Kushi akamzaa Nimrodi.+ Nimrodi alikuwa shujaa wa kwanza duniani. 11  Misraimu akamzaa Ludimu,+ Anamimu, Lehabimu, Naftuhimu,+ 12  Pathrusimu,+ Kasluhimu (hao ndio waliowazaa Wafilisti),+ na Kaftorimu.+ 13  Kanaani akamzaa Sidoni,+ mzaliwa wake wa kwanza, na Hethi,+ 14  na pia Wayebusi,+ Waamori,+ Wagirgashi,+ 15  Wahivi,+ Waarkia, Wasini, 16  Waarvadi,+ Wasemari, na Wahamathi. 17  Wana wa Shemu walikuwa Elamu,+ Asihuru,+ Arpakshadi, Ludi, na Aramu, na* Usi, Huli, Getheri, na Mashi.+ 18  Arpakshadi akamzaa Shela,+ naye Shela akamzaa Eberi. 19  Eberi alizaa wana wawili. Mmoja aliitwa Pelegi,*+ kwa sababu katika siku zake dunia ilikuwa imegawanyika.* Ndugu yake aliitwa Yoktani. 20  Yoktani akamzaa Almodadi, Shelefu, Hazarmavethi, Yera,+ 21  Hadoramu, Uzali, Dikla, 22  Obali, Abimaeli, Sheba, 23  Ofiri,+ Havila,+ na Yobabu; wote hao walikuwa wana wa Yoktani. 24  Wazao wa Shemu walikuwa Arpakshadi,Shela, 25  Eberi,Pelegi,+Reu,+ 26  Serugi,+Nahori,+Tera,+ 27  Abramu, yaani, Abrahamu.+ 28  Wana wa Abrahamu walikuwa Isaka+ na Ishmaeli.+ 29  Hizi ndizo asili za koo zao: mzaliwa wa kwanza wa Ishmaeli alikuwa Nebayothi,+ kisha Kedari,+ Adbeeli, Mibsamu,+ 30  Mishma, Duma, Masa, Hadadi, Tema, 31  Yeturi, Nafishi, na Kedema. Hao ndio waliokuwa wana wa Ishmaeli. 32  Wana waliozaliwa na Ketura,+ suria wa Abrahamu, walikuwa Zimrani, Yokshani, Medani, Midiani,+ Ishbaki, na Shua.+ Wana wa Yokshani walikuwa Sheba na Dedani.+ 33  Wana wa Midiani walikuwa Efa,+ Eferi, Hanoki, Abida, na Eldaa. Hao wote walikuwa wana wa Ketura. 34  Abrahamu akamzaa Isaka.+ Wana wa Isaka walikuwa Esau+ na Israeli.+ 35  Wana wa Esau walikuwa Elifazi, Reueli, Yeushi, Yalamu, na Kora.+ 36  Wana wa Elifazi walikuwa Temani,+ Omari, Sefo, Gatamu, Kenasi, Timna, na Amaleki.+ 37  Wana wa Reueli walikuwa Nahathi, Zera, Shamma, na Miza.+ 38  Wana wa Seiri+ walikuwa Lotani, Shobali, Sibeoni, Ana, Dishoni, Ezeri, na Dishani.+ 39  Wana wa Lotani walikuwa Hori na Homamu. Dada ya Lotani alikuwa Timna.+ 40  Wana wa Shobali walikuwa Alvani, Manahathi, Ebali, Shefo, na Onamu. Wana wa Sibeoni walikuwa Aya na Ana.+ 41  Mwana* wa Ana alikuwa Dishoni. Wana wa Dishoni walikuwa Hemdani, Eshbani, Ithrani, na Kerani.+ 42  Wana wa Ezeri+ walikuwa Bilhani, Zaavani, na Akani. Wana wa Dishani walikuwa Usi na Arani.+ 43  Hawa ndio wafalme waliotawala katika nchi ya Edomu+ kabla mfalme yeyote hajawatawala Waisraeli:*+ Bela mwana wa Beori; jiji lake liliitwa Dinhaba. 44  Bela alipokufa, Yobabu mwana wa Zera kutoka Bosra+ alianza kutawala baada yake. 45  Yobabu alipokufa, Hushamu kutoka katika nchi ya Watemani alianza kutawala baada yake. 46  Hushamu alipokufa, Hadadi mwana wa Bedadi, aliyewashinda Wamidiani katika eneo* la Moabu, alianza kutawala baada yake. Jiji lake liliitwa Avithi. 47  Hadadi alipokufa, Samla kutoka Masreka alianza kutawala baada yake. 48  Samla alipokufa, Shauli kutoka Rehobothi karibu na ule Mto alianza kutawala baada yake. 49  Shauli alipokufa, Baal-hanani mwana wa Akbori alianza kutawala baada yake. 50  Baal-hanani alipokufa, Hadadi alianza kutawala baada yake. Jiji lake liliitwa Pau, na mke wake aliitwa Mehetabeli binti ya Matredi, binti ya Mezahabu. 51  Kisha Hadadi akafa. Mashehe* wa Edomu walikuwa Shehe Timna, Shehe Alva, Shehe Yethethi,+ 52  Shehe Oholibama, Shehe Ela, Shehe Pinoni, 53  Shehe Kenasi, Shehe Temani, Shehe Mibsari, 54  Shehe Magdieli, na Shehe Iramu. Hao ndio waliokuwa mashehe wa Edomu.

Maelezo ya Chini

Wafuatao ni wana wa Aramu. Angalia Mwa 10:23.
Maana yake “Mgawanyiko.”
Au “wakaaji wa dunia walikuwa wamegawanyika.”
Tnn., “Wana.”
Tnn., “wana wa Israeli.”
Tnn., “shamba.”
Shehe alikuwa mkuu wa kabila.