Hamia kwenye habari

Hamia kwenye yaliyomo

Barua ya Pili kwa Timotheo

Sura

1 2 3 4

Muhtasari wa Yaliyomo

  • 1

    • Salamu (1, 2)

    • Paulo amshukuru Mungu kwa sababu ya imani ya Timotheo (3-5)

    • Endelea kuchochea kama moto zawadi ya Mungu (6-11)

    • Endelea kushika maneno yenye manufaa (12-14)

    • Maadui na marafiki wa Paulo (15-18)

  • 2

    • Wakabidhi ujumbe wanaume wanaostahili (1-7)

    • Kuvumilia mateso kwa ajili ya habari njema (8-13)

    • Litumie sawasawa neno la Mungu (14-19)

    • Zikimbie tamaa za ujana (20-22)

    • Jinsi ya kushughulika na wapinzani (23-26)

  • 3

    • Nyakati hatari katika siku za mwisho (1-7)

    • Fuata mfano wa Paulo kwa ukaribu (8-13)

    • “Endelea kufuata mambo uliyojifunza” (14-17)

      • Kila Andiko limeongozwa na roho ya Mungu (16)

  • 4

    • “Timiza kikamili huduma yako” (1-5)

      • Hubiri neno kwa uharaka (2)

    • “Nimepigana pigano zuri” (6-8)

    • Maelezo ya binafsi (9-18)

    • Salamu za mwisho (19-22)