Hamia kwenye habari

Hamia kwenye yaliyomo

Kitabu cha Danieli

Sura

1 2 3 4 5 6 7 8 9 10 11 12

Muhtasari wa Yaliyomo

  • 1

    • Yerusalemu lazingirwa na Wababiloni (1, 2)

    • Mafunzo maalumu ya mfalme kwa vijana waliohamishwa (3-5)

    • Uaminifu wa vijana wanne Waebrania wajaribiwa (6-21)

  • 2

    • Mfalme Nebukadneza aota ndoto ya kufadhaisha (1-4)

    • Wenye hekima washindwa kueleza maana ya ndoto (5-13)

    • Danieli amwomba Mungu msaada (14-18)

    • Mungu asifiwa kwa kufunua siri (19-23)

    • Danieli amwambia mfalme ndoto yake (24-35)

    • Maana ya ndoto (36-45)

      • Jiwe la Ufalme laivunja sanamu (44, 45)

    • Danieli aheshimiwa na mfalme (46-49)

  • 3

    • Sanamu ya dhahabu ya Mfalme Nebukadneza (1-7)

      • Walazimishwa kuabudu sanamu (4-6)

    • Waebrania watatu washtakiwa kwa kukataa kuabudu (8-18)

      • “Hatutaiabudu miungu yako” (18)

    • Watupwa kwenye tanuru la moto (19-23)

    • Waokolewa kimuujiza kutoka motoni (24-27)

    • Mfalme amsifu Mungu wa Waebrania (28-30)

  • 4

    • Mfalme Nebukadneza atambua utawala wa Mungu (1-3)

    • Ndoto ya mfalme kuhusu mti (4-18)

      • Nyakati saba kupita baada ya mti kuangushwa (16)

      • Mungu ni Mtawala wa wanadamu (17)

    • Danieli aeleza maana ya ndoto (19-27)

    • Utimizo wa kwanza wamhusu mfalme (28-36)

      • Mfalme ashikwa na wazimu kwa nyakati saba (32, 33)

    • Mfalme amtukuza Mungu wa mbinguni (37)

  • 5

    • Sherehe ya mfalme Belshaza (1-4)

    • Maandishi ukutani (5-12)

    • Danieli aombwa aeleze maana ya maandishi (13-25)

    • Maana: Kuanguka kwa Babiloni (26-31)

  • 6

    • Njama ya maofisa Waajemi dhidi ya Danieli (1-9)

    • Danieli aendelea kusali (10-15)

    • Danieli atupwa kwenye shimo la simba (16-24)

    • Mfalme Dario amheshimu Mungu wa Danieli (25-28)

  • 7

    • Maono ya wanyama wanne (1-8)

      • Pembe ndogo yenye majivuno yatokea (8)

    • Mzee wa Siku afanya kikao (9-14)

      • Mwana wa binadamu apewa ufalme (13, 14)

    • Danieli ajulishwa maana ya maono (15-28)

      • Wanyama wanne ni wafalme wanne (17)

      • Watakatifu kupokea ufalme (18)

      • Kusimama kwa pembe kumi, au wafalme (24)

  • 8

    • Maono ya kondoo na mbuzi (1-14)

      • Pembe ndogo yajitukuza (9-12)

      • Mpaka jioni na asubuhi 2,300 (14)

    • Gabrieli aeleza maana ya maono (15-27)

      • Ufafanuzi kuhusu kondoo na mbuzi (20, 21)

      • Kutokea kwa mfalme mkali (23-25)

  • 9

    • Danieli atoa sala ya toba (1-19)

      • Miaka sabini ya ukiwa (2)

    • Gabrieli amtembelea Danieli (20-23)

    • Majuma sabini ya kinabii yatabiriwa (24-27)

      • Kutokea kwa Masihi baada ya majuma 69 (25)

      • Kuuawa kwa Masihi (26)

      • Kuangamizwa kwa jiji na mahali patakatifu (26)

  • 10

    • Danieli atembelewa na mjumbe wa Mungu (1-21)

      • Mikaeli amsaidia malaika (13)

  • 11

    • Wafalme wa Uajemi na Ugiriki (1-4)

    • Wafalme wa kusini na kaskazini (5-45)

      • Kutokea kwa mtozaji (20)

      • Kiongozi wa agano auawa (22)

      • Kutukuzwa kwa mungu wa ngome (38)

      • Mapambano kati ya mfalme wa kusini na wa kaskazini (40)

      • Habari za kushtua kutoka mashariki na kaskazini (44)

  • 12

    • “Wakati wa mwisho” na baadaye (1-13)

      • Mikaeli atenda (1)

      • Wenye ufahamu watang’aa (3)

      • Kuenea kwa ujuzi wa kweli (4)

      • Danieli ataamka na kupokea fungu lake (13)