Hamia kwenye habari

Hamia kwenye yaliyomo

Kitabu cha Hesabu

Sura

Muhtasari wa Yaliyomo

  • 1

    • Wanaume waandikishwa jeshini (1-46)

    • Walawi hawakuandikishwa jeshini (47-51)

    • Kambi yapangwa kwa utaratibu (52-54)

  • 2

    • Kambi yapangwa katika makundi ya makabila matatu-matatu (1-34)

      • Kundi la Yuda upande wa mashariki (3-9)

      • Kundi la Rubeni upande wa kusini (10-16)

      • Kambi ya Lawi yawekwa katikati (17)

      • Kundi la Efraimu upande wa magharibi (18-24)

      • Kundi la Dani upande wa kaskazini (25-31)

      • Jumla ya wanaume walioandikishwa (32-34)

  • 3

    • Wana wa Haruni (1-4)

    • Walawi wachaguliwa ili kuhudumu (5-39)

    • Kukombolewa kwa wazaliwa wa kwanza (40-51)

  • 4

    • Utumishi wa Wakohathi (1-20)

    • Utumishi wa Wagershoni (21-28)

    • Utumishi wa Wamerari (29-33)

    • Muhtasari kuhusu idadi ya watu waliohesabiwa (34-49)

  • 5

    • Kuwatenga watu wasio safi (1-4)

    • Kuungama na kulipia kosa (5-10)

    • Maji yatumiwa kuthibitisha ikiwa mtu alifanya uzinzi (11-31)

  • 6

    • Nadhiri ya Unadhiri (1-21)

    • Baraka ya makuhani (22-27)

  • 7

    • Matoleo ya kuzindua hema la ibada (1-89)

  • 8

    • Haruni awasha taa saba (1-4)

    • Walawi watakaswa na kuanza utumishi wao (5-22)

    • Mipaka ya umri kwa ajili ya utumishi wa Walawi (23-26)

  • 9

    • Mpango wa kuadhimisha Pasaka baadaye (1-14)

    • Wingu na moto juu ya hema la ibada (15-23)

  • 10

    • Tarumbeta za fedha (1-10)

    • Kuondoka Sinai (11-13)

    • Utaratibu wa kuondoka (14-28)

    • Hobabu aombwa awaongoze Waisraeli (29-34)

    • Sala aliyotoa Musa walipokuwa wakianza safari (35, 36)

  • 11

    • Mungu aleta moto kwa sababu ya malalamiko (1-3)

    • Watu walilia nyama (4-9)

    • Musa ahisi hastahili (10-15)

    • Yehova awapa roho wazee 70 (16-25)

    • Eldadi na Medadi; Yoshua aona wivu kwa ajili ya Musa (26-30)

    • Kware waletwa; watu waadhibiwa kwa sababu ya pupa (31-35)

  • 12

    • Miriamu na Haruni wampinga Musa (1-3)

      • Musa mtu mpole zaidi kuliko watu wote (3)

    • Yehova amtetea Musa (4-8)

    • Miriamu apigwa na ukoma (9-16)

  • 13

    • Wapelelezi 12 watumwa Kanaani (1-24)

    • Wapelelezi kumi waleta habari mbaya (25-33)

  • 14

    • Watu wataka kurudi Misri (1-10)

      • Yoshua na Kalebu waleta habari nzuri (6-9)

    • Yehova akasirika; Musa aingilia kati (11-19)

    • Adhabu: miaka 40 nyikani (20-38)

    • Waisraeli washindwa na Waamaleki (39-45)

  • 15

    • Sheria kuhusu dhabihu (1-21)

      • Sheria zilezile kwa wenyeji na wageni (15, 16)

    • Dhabihu kwa ajili ya dhambi zilizofanywa bila kukusudia (22-29)

    • Adhabu kwa ajili ya dhambi zilizofanywa kimakusudi (30, 31)

    • Aliyevunja Sabato auawa (32-36)

    • Mavazi yawe na upindo wa nyuzinyuzi (37-41)

  • 16

    • Uasi wa Kora, Dathani, na Abiramu (1-19)

    • Waasi wahukumiwa (20-50)

  • 17

    • Fimbo ya Haruni iliyochanua maua yatumika kuwa onyo (1-13)

  • 18

    • Majukumu ya makuhani na Walawi (1-7)

    • Posho za makuhani (8-19)

      • Agano la chumvi (19)

    • Walawi watapokea na kutoa sehemu moja ya kumi (20-32)

  • 19

    • Ng’ombe mwekundu na maji ya kutakasa (1-22)

  • 20

    • Miriamu afa kule Kadeshi (1)

    • Musa aupiga mwamba na hivyo kutenda dhambi (2-13)

    • Waedomu wawazuia Waisraeli kupita (14-21)

    • Kifo cha Haruni (22-29)

  • 21

    • Mfalme wa Aradi ashindwa (1-3)

    • Nyoka wa shaba (4-9)

    • Waisraeli wazunguka Moabu (10-20)

    • Mfalme Sihoni wa Waamori ashindwa (21-30)

    • Mfalme Ogu wa Waamori ashindwa (31-35)

  • 22

    • Balaki amkodi Balaamu (1-21)

    • Punda wa Balaamu aongea (22-41)

  • 23

    • Maneno ya kwanza ya kishairi ya Balaamu (1-12)

    • Maneno ya pili ya kishairi ya Balaamu (13-30)

  • 24

    • Maneno ya tatu ya kishairi ya Balaamu (1-11)

    • Maneno ya nne ya kishairi ya Balaamu (12-25)

  • 25

    • Waisraeli watenda dhambi na wanawake Wamoabu (1-5)

    • Finehasi achukua hatua (6-18)

  • 26

    • Makabila ya Waisraeli yahesabiwa mara ya pili (1-65)

  • 27

    • Mabinti wa Selofehadi (1-11)

    • Yoshua achaguliwa ili achukue mahali pa Musa (12-23)

  • 28

    • Taratibu za kutoa dhabihu mbalimbali (1-31)

      • Dhabihu ya kila siku (1-8)

      • Kwa ajili ya Sabato (9, 10)

      • Dhabihu ya kila mwezi (11-15)

      • Kwa ajili ya Pasaka (16-25)

      • Kwa ajili ya Sherehe ya Majuma (26-31)

  • 29

    • Taratibu za kutoa dhabihu mbalimbali (1-40)

      • Siku ya kupiga tarumbeta (1-6)

      • Siku ya Kufunika Dhambi (7-11)

      • Sherehe ya Vibanda (12-38)

  • 30

    • Nadhiri za wanaume (1, 2)

    • Nadhiri za wanawake na mabinti (3-16)

  • 31

    • Wamidiani walipizwa kisasi (1-12)

      • Balaamu auawa (8)

    • Maagizo kuhusu nyara za vita (13-54)

  • 32

    • Waliobaki upande wa mashariki wa Yordani (1-42)

  • 33

    • Vituo vya safari ya Waisraeli nyikani (1-49)

    • Maagizo ya kuteka nchi ya Kanaani (50-56)

  • 34

    • Mipaka ya Kanaani (1-15)

    • Wanaume wapewa kazi ya kuigawanya nchi (16-29)

  • 35

    • Majiji ya Walawi (1-8)

    • Majiji ya makimbilio (9-34)

  • 36

    • Sheria kuhusu kuwaoa warithi wa kike (1-13)