Hamia kwenye habari

Hamia kwenye yaliyomo

Kitabu cha Hosea

Sura

1 2 3 4 5 6 7 8 9 10 11 12 13 14

Muhtasari wa Yaliyomo

  • 1

    • Mke wa Hosea na watoto anaozaa (1-9)

      • Yezreeli (4), Lo-ruhama (6), na Lo-ami (9)

    • Tumaini la kurudishwa na kuwa na umoja (10, 11)

  • 2

    • Waisraeli wasio waaminifu waadhibiwa (1-13)

    • Wamrudia Yehova akiwa kama mume wao (14-23)

      • “Utaniita mume Wangu” (16)

  • 3

    • Hosea amkomboa mke wake mzinzi (1-3)

    • Waisraeli watamrudia Yehova (4, 5)

  • 4

    • Kesi ya Yehova dhidi ya Waisraeli (1-8)

      • Watu hawamjui Mungu nchini (1)

    • Waisraeli waabudu sanamu na kufanya ukahaba (9-19)

      • Wapotoshwa na roho ya ukahaba (12)

  • 5

    • Waefraimu na watu wa Yuda wahukumiwa (1-15)

  • 6

    • Wasihiwa wamrudie Yehova (1-3)

    • Upendo mshikamanifu usiodumu wa Waisraeli (4-6)

      • Upendo mshikamanifu ni bora kuliko dhabihu (6)

    • Mwenendo wa aibu wa Waisraeli (7-11)

  • 7

    • Uovu wa Waefraimu (1-16)

      • Hawataepuka wavu wa Mungu (12)

  • 8

    • Matokeo ya kuabudu sanamu (1-14)

      • Kupanda upepo, kuvuna kimbunga (7)

      • Waisraeli wamemsahau Muumba wao (14)

  • 9

    • Mungu awakataa Waefraimu kwa sababu ya dhambi zao (1-17)

      • Wajiweka wakfu kwa mungu anayechukiza (10)

  • 10

    • Waisraeli ni mzabibu ulioharibika, wataangamizwa (1-15)

  • 11

    • Mungu ampenda Israeli tangu utotoni (1-12)

      • “Nikamwita mwanangu atoke Misri” (1)

  • 12

    • Waefraimu wanapaswa kumrudia Yehova (1-14)

      • Yakobo alishindana na Mungu (3)

      • Yakobo alimlilia Mungu ili ambariki (4)

  • 13

    • Waefraimu waabudu sanamu na kumsahau Yehova (1-16)

      • “Ewe Kifo, yako wapi maumivu yako makali?” (14)

  • 14

    • Wasihiwa wamrudie Yehova (1-3)

      • Kutoa sifa ya midomo (2)

    • Waisraeli waponywa, hawatakosa uaminifu tena (4-9)