Hamia kwenye habari

Hamia kwenye yaliyomo

Kitabu cha Yeremia

Sura

Muhtasari wa Yaliyomo

  • 1

    • Yeremia awekwa kuwa nabii (1-10)

    • Maono ya mti wa mlozi (11, 12)

    • Maono ya chungu cha kupikia (13-16)

    • Yeremia atiwa nguvu kwa ajili ya utume wake (17-19)

  • 2

    • Waisraeli wamwacha Yehova na kuanza kuabudu miungu mingine (1-37)

      • Israeli ni kama mzabibu wa kigeni (21)

      • Pindo za nguo zake zina madoa ya damu (34)

  • 3

    • Kina cha uasi imani wa Israeli (1-5)

    • Israeli na Yuda wana hatia ya uzinzi (6-11)

    • Mwito wa kutubu (12-25)

  • 4

    • Kutubu kunaleta baraka (1-4)

    • Msiba utakuja kutoka kaskazini (5-18)

    • Uchungu wa Yeremia kuhusu msiba unaokuja (19-31)

  • 5

    • Watu wakataa nidhamu ya Yehova (1-13)

    • Wataharibiwa lakini hawataangamizwa kabisa (14-19)

    • Yehova awaadhibu watu (20-31)

  • 6

    • Kuzingirwa kwa Yerusalemu kunakaribia (1-9)

    • Ghadhabu ya Yehova dhidi ya Yerusalemu (10-21)

      • Wanasema “Kuna amani!” wakati hakuna amani (14)

    • Watavamiwa kikatili kutoka kaskazini (22-26)

    • Yeremia atakuwa mpimaji wa madini (27-30)

  • 7

    • Tumaini la uwongo katika hekalu la Yehova (1-11)

    • Hekalu litakuwa kama Shilo (12-15)

    • Ibada ya kidesturi yashutumiwa (16-34)

      • “Malkia wa Mbinguni” aabudiwa (18)

      • Kutoa watoto dhabihu huko Hinomu (31)

  • 8

    • Watu wachagua njia inayopendwa na wengi (1-7)

    • Kuna hekima gani bila neno la Yehova? (8-17)

    • Yeremia aomboleza kwa sababu ya kuvunjika kwa Yuda (18-22)

      • “Je, hakuna zeri kule Gileadi?” (22)

  • 9

    • Yeremia ahuzunika sana (1-3a)

    • Yehova aiadhibu Yuda (3b-16)

    • Nchi ya Yuda yaombolezewa (17-22)

    • Jigambe kuhusu kumjua Yehova (23-26)

  • 10

    • Mungu aliye hai atofautishwa na miungu ya mataifa (1-16)

    • Uharibifu na uhamisho unaokuja (17, 18)

    • Yeremia aomboleza (19-22)

    • Sala ya nabii (23-25)

      • Mwanadamu hawezi kuongoza hatua yake mwenyewe (23)

  • 11

    • Yuda avunja agano lake pamoja na Mungu (1-17)

      • Miungu mingi kama majiji (13)

    • Yeremia afananishwa na mwanakondoo anayepelekwa machinjioni (18-20)

    • Yeremia apingwa na watu wa mji wa nyumbani kwao (21-23)

  • 12

    • Yeremia alalamika (1-4)

    • Jibu la Yehova (5-17)

  • 13

    • Mshipi wa kitani ulioharibika (1-11)

    • Mitungi ya divai itavunjwavunjwa (12-14)

    • Watu wa Yuda wasioweza kubadilika watapelekwa uhamishoni (15-27)

      • “Je, Mkushi anaweza kuibadili ngozi yake?” (23)

  • 14

    • Ukame, njaa kali, na upanga (1-12)

    • Manabii wa uwongo washutumiwa (13-18)

    • Yeremia akiri dhambi za watu (19-22)

  • 15

    • Yehova hatabadili hukumu yake (1-9)

    • Yeremia alalamika (10)

    • Jibu la Yehova (11-14)

    • Sala ya Yeremia (15-18)

      • Apata furaha kwa kula maneno ya Mungu (16)

    • Yehova amtia nguvu Yeremia (19-21)

  • 16

    • Yeremia hapaswi kuoa, kuomboleza, wala kusherehekea (1-9)

    • Adhabu, kisha kurudishwa (10-21)

  • 17

    • Dhambi ya Yuda imetia mizizi (1-4)

    • Baraka za kumtumaini Yehova (5-8)

    • Moyo wenye hila (9-11)

    • Yehova, tumaini la Israeli (12, 13)

    • Sala ya Yeremia (14-18)

    • Kuishika Sabato ikiwa siku takatifu (19-27)

  • 18

    • Udongo mikononi mwa mfinyanzi (1-12)

    • Yehova awageuzia Israeli mgongo (13-17)

    • Njama dhidi ya Yeremia; ombi lake (18-23)

  • 19

    • Yeremia aambiwa avunje chupa ya udongo (1-15)

      • Kumtolea Baali dhabihu za watoto (5)

  • 20

    • Pashuri ampiga Yeremia (1-6)

    • Yeremia hawezi kuacha kuhubiri (7-13)

      • Ujumbe wa Mungu ni kama moto unaowaka (9)

      • Yehova ni kama shujaa anayetisha (11)

    • Yeremia alalamika (14-18)

  • 21

    • Yehova akataa ombi la Sedekia (1-7)

    • Watu kuchagua uzima au kifo (8-14)

  • 22

    • Ujumbe wa hukumu dhidi ya wafalme waovu (1-30)

      • Kumhusu Shalumu (10-12)

      • Kumhusu Yehoyakimu (13-23)

      • Kumhusu Konia (24-30)

  • 23

    • Wachungaji wazuri na wabaya (1-4)

    • Usalama chini ya “chipukizi adilifu” (5-8)

    • Manabii wa uwongo washutumiwa (9-32)

    • “Mzigo” wa Yehova (33-40)

  • 24

    • Tini nzuri na tini mbaya (1-10)

  • 25

    • Kesi ya Yehova dhidi ya mataifa (1-38)

      • Mataifa yatatumikia Babiloni kwa miaka 70 (11)

      • Kikombe cha divai ya ghadhabu ya Mungu (15)

      • Msiba kutoka taifa moja hadi lingine (32)

      • Wale ambao Yehova atawaua (33)

  • 26

    • Maadui watishia kumuua Yeremia (1-15)

    • Yeremia aokolewa (16-19)

      • Unabii wa Mika wanukuliwa (18)

    • Nabii Uriya (20-24)

  • 27

    • Nira ya Babiloni (1-11)

    • Sedekia aambiwa ajitiishe kwa Babiloni (12-22)

  • 28

    • Nabii wa uwongo Hanania ampinga nabii Yeremia (1-17)

  • 29

    • Barua ya Yeremia kwa watu walio uhamishoni Babiloni (1-23)

      • Waisraeli watarudi baada ya miaka 70 (10)

    • Ujumbe kwa Shemaya (24-32)

  • 30

    • Ahadi za kurudishwa na kuponywa (1-24)

  • 31

    • Waisraeli waliobaki wataishi tena nchini (1-30)

      • Raheli awaombolezea watoto wake (15)

    • Agano jipya (31-40)

  • 32

    • Yeremia anunua shamba (1-15)

    • Sala ya Yeremia (16-25)

    • Jibu la Yehova (26-44)

  • 33

    • Ahadi ya kurudishwa (1-13)

    • Usalama chini ya “chipukizi adilifu” (14-16)

    • Agano pamoja na Daudi na makuhani (17-26)

      • Agano kuhusu mchana na usiku (20)

  • 34

    • Ujumbe wa hukumu kwa Sedekia (1-7)

    • Agano la kuwaachilia huru watumwa lavunjwa (8-22)

  • 35

    • Warekabu waonyesha utii wa pekee (1-19)

  • 36

    • Yeremia asema mambo kisha yaandikwa katika kitabu cha kukunjwa (1-7)(1-7)

    • Baruku asoma kwa sauti kitabu cha kukunjwa (8-19)

    • Yehoyakimu akichoma moto kitabu hicho cha kukunjwa (20-26)

    • Ujumbe waandikwa tena kwenye kitabu kipya cha kukunjwa (27-32)

  • 37

    • Wakaldayo wataondoka kwa muda mfupi tu (1-10)

    • Yeremia afungwa gerezani (11-16)

    • Sedekia akutana na Yeremia (17-21)

      • Yeremia apewa mkate (21)

  • 38

    • Yeremia atupwa ndani ya tangi (1-6)

    • Ebed-meleki amwokoa Yeremia (7-13)

    • Yeremia amsihi Sedekia ajisalimishe (14-28)

  • 39

    • Kuanguka kwa Yerusalemu (1-10)

      • Sedekia akimbia kisha akamatwa (4-7)

    • Yeremia atalindwa (11-14)

    • Uhai wa Ebed-meleki utaokolewa (15-18)

  • 40

    • Nebuzaradani amwachilia huru Yeremia (1-6)

    • Gedalia awekwa kuwa msimamizi nchini (7-12)

    • Njama dhidi ya Gedalia (13-16)

  • 41

    • Ishmaeli amuua Gedalia (1-10)

    • Yohanani amfanya Ishmaeli akimbie (11-18)

  • 42

    • Watu wamwomba Yeremia asali ili wapate mwongozo (1-6)

    • Yehova ajibu hivi: “Msiende Misri” (7-22)

  • 43

    • Watu wakataa kutii kisha waenda Misri (1-7)

    • Neno la Yehova kwa Yeremia nchini Misri (8-13)

  • 44

    • Msiba watabiriwa dhidi ya Wayahudi walio Misri (1-14)

    • Watu wakataa onyo la Mungu (15-30)

      • “Malkia wa Mbinguni” aabudiwa (17-19)

  • 45

    • Ujumbe wa Yehova kwa Baruku (1-5)

  • 46

    • Unabii dhidi ya Misri (1-26)

      • Misri itashindwa na Nebukadneza (13, 26)

    • Ahadi kwa Israeli (27, 28)

  • 47

    • Unabii dhidi ya Wafilisti (1-7)

  • 48

    • Unabii dhidi ya Moabu (1-47)

  • 49

    • Unabii dhidi ya Amoni (1-6)

    • Unabii dhidi ya Edomu (7-22)

      • Nchi ya Edomu haitakuwa taifa tena (17, 18)

    • Unabii dhidi ya Damasko (23-27)

    • Unabii dhidi ya Kedari na Hasori (28-33)

    • Unabii dhidi ya Elamu (34-39)

  • 50

    • Unabii dhidi ya Babiloni (1-46)

      • Kimbieni kutoka Babiloni (8)

      • Watu wa Israeli watarudishwa (17-19)

      • Maji ya Babiloni yatakaushwa kabisa (38)

      • Babiloni halitakaliwa tena (39, 40)

  • 51

    • Unabii dhidi ya Babiloni (1-64)

      • Babiloni litashindwa ghafla na Wamedi (8-12)

      • Kitabu chatupwa ndani ya Mto Efrati (59-64)

  • 52

    • Sedekia aasi Babiloni (1-3)

    • Nebukadneza azingira Yerusalemu (4-11)

    • Kuharibiwa kwa jiji na hekalu (12-23)

    • Watu wapelekwa uhamishoni Babiloni (24-30)

    • Yehoyakini aachiliwa huru kutoka gerezani (31-34)