Hamia kwenye habari

Hamia kwenye yaliyomo

Habari Njema Kulingana na Luka

Sura

Muhtasari wa Yaliyomo

  • 1

    • Ujumbe kwa Theofilo (1-4)

    • Gabrieli atabiri kuzaliwa kwa Yohana Mbatizaji (5-25)

    • Gabrieli atabiri kuzaliwa kwa Yesu  (26-38)

    • Maria amtembelea Elisabeti (39-45)

    • Maria amtukuza Yehova (46-56)

    • Yohana azaliwa na kupewa jina (57-66)

    • Unabii wa Zekaria (67-80)

  • 2

    • Yesu azaliwa (1-7)

    • Malaika wawatokea wachungaji (8-20)

    • Tohara na kutakaswa (21-24)

    • Simeoni amwona Kristo (25-35)

    • Ana azungumza kumhusu mtoto (36-38)

    • Warudi Nazareti (39, 40)

    • Yesu aenda hekaluni akiwa na miaka 12 (41-52)

  • 3

    • Yohana aanza kazi yake (1, 2)

    • Yohana ahubiri kuhusu ubatizo (3-20)

    • Yesu abatizwa (21, 22)

    • Ukoo wa Yesu Kristo (23-38)

  • 4

    • Ibilisi amjaribu Yesu (1-13)

    • Yesu aanza kuhubiri huko Galilaya (14, 15)

    • Yesu akataliwa huko Nazareti (16-30)

    • Yesu akiwa katika sinagogi huko Kapernaumu (31-37)

    • Mama mkwe wa Simoni na wagonjwa wengine waponywa (38-41)

    • Umati wampata Yesu katika eneo lisilo na watu (42-44)

  • 5

    • Wavua samaki kimuujiza; wanafunzi wa kwanza (1-11)

    • Mtu mwenye ukoma aponywa (12-16)

    • Yesu amponya mtu aliyepooza (17-26)

    • Yesu amwita Lawi (27-32)

    • Swali kuhusu kufunga (33-39)

  • 6

    • Yesu ndiye “Bwana wa Sabato” (1-5)

    • Mtu aliyepooza mkono aponywa (6-11)

    • Mitume 12 (12-16)

    • Yesu afundisha na kuponya (17-19)

    • Furaha na ole (20-26)

    • Kuwapenda adui (27-36)

    • Acheni kuhukumu (37-42)

    • Mti hujulikana kwa matunda yake (43-45)

    • Nyumba iliyojengwa vizuri; nyumba isiyo na msingi imara (46-49)

  • 7

    • Ofisa wa jeshi mwenye imani (1-10)

    • Yesu amfufua mwana wa mjane huko Naini (11-17)

    • Yohana Mbatizaji asifiwa (18-30)

    • Kizazi kisicho na imani chashutumiwa (31-35)

    • Mwanamke mwenye dhambi asamehewa (36-50)

      • Mfano wa watu wenye madeni (41-43)

  • 8

    • Wanawake waliomfuata Yesu (1-3)

    • Mfano wa mpandaji (4-8)

    • Kwa nini Yesu alitumia mifano? (9, 10)

    • Mfano wa mpandaji wafafanuliwa (11-15)

    • Taa haipaswi kufunikwa (16-18)

    • Mama na ndugu za Yesu (19-21)

    • Yesu atuliza dhoruba (22-25)

    • Yesu awaruhusu roho waovu waingie ndani ya nguruwe (26-39)

    • Binti ya Yairo; mwanamke agusa mavazi ya nje ya Yesu (40-56)

  • 9

    • Wale 12 wapewa maagizo kuhusu huduma (1-6)

    • Herode ashangazwa na Yesu (7-9)

    • Yesu awalisha wanaume 5,000 (10-17)

    • Petro amtambua Kristo (18-20)

    • Kifo cha Yesu chatabiriwa (21, 22)

    • Wanafunzi wa kweli (23-27)

    • Yesu ageuka sura (28-36)

    • Mvulana aliyekuwa na roho mwovu aponywa (37-43a)

    • Kifo cha Yesu chatabiriwa tena (43b-45)

    • Wanafunzi wabishana kuhusu cheo (46-48)

    • Asiyetupinga yuko upande wetu (49, 50)

    • Kijiji cha Wasamaria chamkataa Yesu (51-56)

    • Jinsi ya kumfuata Yesu (57-62)

  • 10

    • Yesu awatuma wale 70 (1-12)

    • Ole kwa miji isiyotubu (13-16)

    • Wale 70 warudi (17-20)

    • Yesu amsifu Baba yake kwa kuwafunulia mambo wanyenyekevu (21-24)

    • Mfano wa Msamaria mwema (25-37)

    • Yesu awatembelea Martha na Maria (38-42)

  • 11

    • Jinsi ya kusali (1-13)

      • Sala ya mfano (2-4)

    • Roho waovu wafukuzwa kwa nguvu za Mungu (14-23)

    • Roho mwovu arudi (24-26)

    • Furaha ya kweli (27, 28)

    • Ishara ya Yona (29-32)

    • Taa ya mwili (33-36)

    • Ole kwa wanafiki wa kidini (37-54)

  • 12

    • Chachu ya Mafarisayo (1-3)

    • Mwogope Mungu, si wanadamu (4-7)

    • Kukiri muungano na Kristo (8-12)

    • Mfano wa tajiri mpumbavu (13-21)

    • Acheni kuhangaika (22-34)

      • Kundi dogo (32)

    • Kukesha (35-40)

    • Msimamizi mwaminifu na msimamizi asiye mwaminifu (41-48)

    • Si amani, bali mgawanyiko (49-53)

    • Uhitaji wa kuchunguza nyakati (54-56)

    • Kutatua mizozo (57-59)

  • 13

    • Tubuni au muangamizwe (1-5)

    • Mfano wa mtini usiozaa (6-9)

    • Mwanamke mlemavu aponywa siku ya Sabato (10-17)

    • Mfano wa mbegu ya haradali na wa chachu (18-21)

    • Jitihada zinahitajika ili kupitia mlango mwembamba (22-30)

    • Herode, “mbweha huyo” (31-33)

    • Yesu aombolezea Yerusalemu (34, 35)

  • 14

    • Mtu mwenye ugonjwa wa kuvimba aponywa siku ya Sabato (1-6)

    • Uwe mgeni mnyenyekevu (7-11)

    • Waalike watu wasio na uwezo wa kukulipa (12-14)

    • Mfano wa wageni waliotoa visingizio (15-24)

    • Gharama ya kuwa mwanafunzi (25-33)

    • Chumvi inapopoteza nguvu yake (34, 35)

  • 15

    • Mfano wa kondoo aliyepotea (1-7)

    • Mfano wa sarafu iliyopotea (8-10)

    • Mfano wa mwana mpotevu (11-32)

  • 16

    • Mfano wa msimamizi asiye mwadilifu (1-13)

      • ‘Mtu mwaminifu katika dogo ni mwaminifu katika kubwa’ (10)

    • Sheria na Ufalme wa Mungu (14-18)

    • Mfano wa tajiri na Lazaro (19-31)

  • 17

    • Kukwazika, msamaha, na imani (1-6)

    • Watumwa wasiofaa kitu (7-10)

    • Watu kumi wenye ukoma waponywa (11-19)

    • Kuja kwa Ufalme wa Mungu (20-37)

      • “Ufalme wa Mungu uko katikati yenu.” (21)

      • “Mkumbukeni mke wa Loti” (32)

  • 18

    • Mfano wa mjane aliyeendelea kuomba (1-8)

    • Farisayo na mkusanya kodi (9-14)

    • Yesu na watoto (15-17)

    • Mtawala tajiri auliza swali (18-30)

    • Kifo cha Yesu chatabiriwa tena (31-34)

    • Kipofu aliyekuwa akiombaomba aponywa (35-43)

  • 19

    • Yesu amtembelea Zakayo (1-10)

    • Mfano wa mina kumi (11-27)

    • Yesu aingia kwa kishindo (28-40)

    • Yesu alililia jiji la Yerusalemu (41-44)

    • Yesu asafisha hekalu (45-48)

  • 20

    • Wataka kujua chanzo cha mamlaka ya Yesu (1-8)

    • Mfano wa wakulima wauaji (9-19)

    • Mungu na Kaisari (20-26)

    • Swali kuhusu ufufuo (27-40)

    • Je, Kristo ni mwana wa Daudi? (41-44)

    • Onyo dhidi ya waandishi (45-47)

  • 21

    • Sarafu mbili za mjane maskini (1-4)

    • ISHARA YA MAMBO YATAKAYOKUJA (5-36)

      • Vita, matetemeko makubwa ya ardhi, magonjwa, upungufu wa chakula (10, 11)

      • Yerusalemu lazingirwa na majeshi (20)

      • Nyakati zilizowekwa za mataifa (24)

      • Kuja kwa Mwana wa binadamu (27)

      • Mfano wa mtini (29-33)

      • Endeleeni kukesha (34-36)

    • Yesu afundisha hekaluni (37, 38)

  • 22

    • Makuhani wapanga njama ya kumuua Yesu (1-6)

    • Matayarisho ya Pasaka ya mwisho (7-13)

    • Mlo wa Jioni wa Bwana waanzishwa (14-20)

    • ‘Msaliti wangu yuko pamoja nami mezani’ (21-23)

    • Wabishana vikali kuhusu aliye mkuu zaidi (24-27)

    • Yesu afanya agano kwa ajili ya ufalme (28-30)

    • Yesu atabiri Petro atamkana (31-34)

    • Uhitaji wa kuwa tayari; panga mbili (35-38)

    • Yesu asali kwenye Mlima wa Mizeituni (39-46)

    • Yesu akamatwa (47-53)

    • Petro amkana Yesu (54-62)

    • Yesu adhihakiwa (63-65)

    • Kesi mbele ya Sanhedrini (66-71)

  • 23

    • Yesu mbele ya Pilato na Herode (1-25)

    • Yesu na wahalifu wawili watundikwa kwenye mti (26-43)

      • “Utakuwa pamoja nami katika Paradiso” (43)

    • Yesu afa (44-49)

    • Yesu azikwa (50-56)

  • 24

    • Yesu afufuliwa (1-12)

    • Wakiwa njiani kuelekea Emau (13-35)

    • Yesu awatokea wanafunzi (36-49)

    • Yesu apaa mbinguni (50-53)