Hamia kwenye habari

Hamia kwenye yaliyomo

Kitabu cha Mambo ya Walawi

Sura

Muhtasari wa Yaliyomo

  • 1

    • Dhabihu ya kuteketezwa (1-17)

  • 2

    • Toleo la nafaka (1-16)

  • 3

    • Dhabihu ya ushirika (1-17)

      • Msile mafuta wala damu (17)

  • 4

    • Dhabihu ya dhambi (1-35)

  • 5

    • Dhambi hususa na dhabihu zilizohitaji kutolewa (1-6)

      • Kutoa habari kuhusu dhambi za wengine (1)

    • Dhabihu ambazo zingeweza kutolewa na maskini (7-13)

    • Dhabihu ya hatia kwa ajili ya dhambi zilizotendwa bila kukusudia (14-19)

  • 6

    • Habari zaidi kuhusu dhabihu ya hatia (1-7)

    • Maagizo kuhusu dhabihu (8-30)

      • Dhabihu ya kuteketezwa (8-13)

      • Toleo la nafaka (14-23)

      • Dhabihu ya dhambi (24-30)

  • 7

    • Maagizo kuhusu dhabihu (1-21)

      • Dhabihu ya hatia (1-10)

      • Dhabihu ya ushirika (11-21)

    • Wakatazwa kula mafuta au damu (22-27)

    • Fungu la kuhani (28-36)

    • Orodha ya dhabihu mbalimbali (37, 38)

  • 8

    • Haruni na wanawe wawekwa rasmi kuwa makuhani (1-36)

  • 9

    • Haruni atoa dhabihu za kumweka rasmi kuwa kuhani (1-24)

  • 10

    • Moto kutoka kwa Yehova wawaangamiza Nadabu

      na Abihu (1-7)

    • Sheria ya makuhani kuhusu kula na kunywa (8-20)

  • 11

    • Wanyama safi na wasio safi (1-47)

  • 12

    • Kutakaswa kwa mwanamke baada ya kuzaa mtoto (1-8)

  • 13

    • Sheria kuhusu ukoma (1-46)

    • Ukoma unaoathiri mavazi (47-59)

  • 14

    • Kujitakasa ukoma (1-32)

    • Kutakasa nyumba zilizoathiriwa (33-57)

  • 15

    • Umajimaji unaotoka kwenye viungo vya uzazi (1-33)

  • 16

    • Siku ya Kufunika Dhambi (1-34)

  • 17

    • Hema la ibada, mahali pa kutoa dhabihu (1-9)

    • Wakatazwa kula damu (10-14)

    • Sheria kuhusu wanyama waliokufa (15, 16)

  • 18

    • Ngono haramu (1-30)

      • Msiwaige Wakanaani (3)

      • Ngono mbalimbali kati ya watu wa ukoo (6-18)

      • Wakati wa hedhi (19)

      • Ngono kati ya watu wa jinsia moja (22)

      • Ngono na wanyama (23)

      • ‘Msijichafue, kama sivyo, nchi itawatapika’ (24-30)

  • 19

    • Sheria mbalimbali kuhusu utakatifu (1-37)

      • Njia inayofaa ya kuvuna (9, 10)

      • Kuwajali viziwi na vipofu (14)

      • Uchongezi (16)

      • Usiwe na kinyongo (18)

      • Wakatazwa kufanya uchawi na kuwasiliana na roho waovu (26 , 31)

      • Wakatazwa kuchanja chale (28)

      • Kuwaheshimu waliozeeka (32)

      • Jinsi wageni wanavyopaswa kutendewa (33, 34)

  • 20

    • Ibada ya Moleki; kuwasiliana na roho waovu (1-6)

    • Iweni watakatifu na muwaheshimu wazazi (7-9)

    • Wanaofanya ngono haramu wanapaswa kuuawa (10-21)

    • Iweni watakatifu ili mwendelee kuishi nchini (22-26)

    • Wanaowasiliana na roho waovu wanapaswa kuuawa (27)

  • 21

    • Makuhani wawe watakatifu, wasiwe wachafu (1-9)

    • Kuhani mkuu asijichafue (10-15)

    • Makuhani wasiwe na kasoro yoyote mwilini (16-24)

  • 22

    • Utakatifu wa makuhani na ulaji wa vitu vitakatifu (1-16)

    • Dhabihu zisizo na kasoro ndizo zinazokubaliwa (17-33)

  • 23

    • Siku takatifu na sherehe takatifu (1-44)

      • Sabato (3)

      • Pasaka (4, 5)(4, 5)

      • Sherehe ya Mikate Isiyo na Chachu (6-8)

      • Kutoa mazao au matunda ya kwanza (9-14)

      • Sherehe ya Majuma (15-21)

      • Njia inayofaa ya kuvuna (22)

      • Sherehe ya Kupiga Tarumbeta (23-25)

      • Siku ya Kufunika Dhambi (26-32)

      • Sherehe ya Vibanda (33-43)

  • 24

    • Mafuta kwa ajili ya taa za hema la ibada (1-4)

    • Mikate ya wonyesho (5-9)

    • Aliyelitukana jina la Mungu apigwa mawe (10-23)

  • 25

    • Mwaka wa Sabato (1-7)

    • Mwaka wa Mwadhimisho wa Miaka 50 (8-22)

    • Kurudishwa kwa mali (23-34)

    • Jinsi ya kuwatendea maskini (35-38)

    • Sheria kuhusu utumwa (39-55)

  • 26

    • Epukeni ibada ya sanamu (1, 2)

    • Baraka za kuwa mtiifu (3-13)

    • Adhabu ya kukosa kutii (14-46)

  • 27

    • Kukomboa vitu vilivyowekwa nadhiri (1-27)

    • Vitu vilivyotolewa kwa Yehova bila masharti (28, 29)

    • Kukomboa sehemu za kumi (30-34)