Hamia kwenye habari

Hamia kwenye yaliyomo

Kitabu cha Maombolezo

Sura

1 2 3 4 5

Muhtasari wa Yaliyomo

  • 1

    • Jiji la Yerusalemu lafananishwa na mjane

      • Limebaki ukiwa na kuachwa (1)

      • Dhambi nzito sana za Sayuni (8, 9)

      • Sayuni lakataliwa na Mungu (12-15)

      • Hakuna wa kulifariji Sayuni (17)

  • 2

    • Hasira ya Yehova dhidi ya Yerusalemu

      • Hakulihurumia (2)

      • Yehova ni kama adui yake (5)

      • Machozi yamwagwa kwa ajili ya Sayuni (11-13)

      • Wapita njia walidharau jiji lililokuwa maridadi awali (15)

      • Maadui washangilia kuanguka kwa Sayuni (17)

  • 3

    • Yeremia aeleza hisia na matumaini yake

      • “Nitaonyesha mtazamo wa kungojea” (21)

      • Rehema za Mungu ni mpya kila asubuhi (22, 23)

      • Mungu ni mwema kwa wale wanaomtumaini (25)

      • Ni jambo jema kwa vijana kubeba nira (27)

      • Mungu aziba kwa wingu njia ya kumkaribia (43, 44)

  • 4

    • Matokeo mabaya ya kuzingirwa kwa Yerusalemu

      • Ukosefu wa chakula (4, 5, 9)

      • Wanawake wawachemsha watoto wao wenyewe (10)

      • Yehova amemwaga hasira yake (11)

  • 5

    • Watu wasali warudishwe

      • ‘Kumbuka yale ambayo yametupata’ (1)

      • ‘Ole wetu; tumetenda dhambi’ (16)

      • ‘Turudishe, Ee Yehova’ (21)

      • “Zifanye siku zetu ziwe mpya” (21)