Hamia kwenye habari

Hamia kwenye yaliyomo

Kitabu cha Nehemia

Sura

1 2 3 4 5 6 7 8 9 10 11 12 13

Muhtasari wa Yaliyomo

  • 1

    • Habari kutoka Yerusalemu (1-3)

    • Sala ya Nehemia (4-11)

  • 2

    • Nehemia aruhusiwa kwenda Yerusalemu (1-10)

    • Nehemia akagua kuta za jiji (11-20)

  • 3

    • Kuta zajengwa upya (1-32)

  • 4

    • Kazi yaendelea licha ya upinzani (1-14)

    • Ujenzi waendelea wajenzi wakiwa na silaha (15-23)

  • 5

    • Nehemia akomesha ukandamizaji (1-13)

    • Nehemia hakutenda kwa ubinafsi (14-19)

  • 6

    • Kazi ya kujenga upya yaendelea kupingwa (1-14)

    • Ukuta wakamilika baada ya siku 52 (15-19)

  • 7

    • Malango ya jiji na walinzi wa malango (1-4)

    • Orodha ya watu waliorudi kutoka uhamishoni (5-69)

      • Watumishi wa hekaluni (46-56)

      • Wana wa watumishi wa Sulemani (57-60)

    • Michango kwa ajili ya kazi (70-73)

  • 8

    • Sheria yasomwa na kufafanuliwa mbele ya watu (1-12)

    • Sherehe ya Vibanda yaadhimishwa (13-18)

  • 9

    • Watu waungama dhambi zao (1-38)

      • Yehova, Mungu anayesamehe (17)

  • 10

    • Watu wakubali kuifuata Sheria (1-39)

      • “Hatutaipuuza nyumba ya Mungu wetu” (39)

  • 11

    • Watu waanza kuishi tena Yerusalemu (1-36)

  • 12

    • Makuhani na Walawi (1-26)

    • Ukuta wazinduliwa (27-43)

    • Kutegemeza utumishi wa hekalu (44-47)

  • 13

    • Nehemia afanya marekebisho zaidi (1-31)

      • Sehemu za kumi zatolewa (10-13)

      • Sabato isichafuliwe (15-22)

      • Wakatazwa kuoa watu wa mataifa mengine (23-28)