Hamia kwenye habari

Hamia kwenye yaliyomo

Kitabu cha Ufunuo

Sura

Muhtasari wa Yaliyomo

  • 1

    • Ufunuo kutoka kwa Mungu, kupitia Yesu (1-3)

    • Salamu kwa yale makutaniko saba (4-8)

      • “Mimi ndiye Alfa na Omega” (8)

    • Yohana katika siku ya Bwana kwa mwongozo wa roho (9-11)

    • Maono ya Yesu aliyetukuzwa (12-20)

  • 2

    • Ujumbe kwa kutaniko la Efeso (1-7), la Smirna (8-11), la Pergamamu (12-17), la Thiatira (18-29)

  • 3

    • Ujumbe kwa kutaniko la Sardisi (1-6), la Filadelfia (7-13), la Laodikia (14-22)

  • 4

    • Aona maono ya Yehova mbinguni (1-11)

      • Yehova akiwa ameketi kwenye kiti chake cha ufalme (2)

      • Wazee 24 kwenye viti vya ufalme (4)

      • Viumbe hai wanne (6)

  • 5

    • Kitabu cha kukunjwa chenye mihuri saba (1-5)

    • Mwanakondoo achukua kitabu cha kukunjwa (6-8)

    • Mwanakondoo anastahili kufungua mihuri (9-14)

  • 6

    • Mwanakondoo afungua mihuri ya kwanza sita (1-17)

      • Mshindi akiwa kwenye farasi mweupe (1, 2)

      • Aliyepanda farasi wa rangi ya moto aondoa amani (3, 4)

      • Aliyepanda farasi mweusi aleta njaa (5, 6)

      • Aliyepanda farasi wa kijivu anaitwa Kifo (7, 8)

      • Waliouawa, chini ya madhabahu (9-11)

      • Tetemeko kubwa la ardhi (12-17)

  • 7

    • Malaika wanne wanaozuia pepo za maangamizi (1-3)

    • Wale 144,000 watiwa muhuri (4-8)

    • Umati mkubwa ukiwa umevaa kanzu nyeupe (9-17)

  • 8

    • Muhuri wa saba wafunguliwa (1-6)

    • Tarumbeta nne za kwanza zapigwa (7-12)

    • Ole tatu zatangazwa (13)

  • 9

    • Tarumbeta ya tano (1-11)

    • Ole wa kwanza umepita, mbili zaidi zinakuja (12)

    • Tarumbeta ya sita (13-21)

  • 10

    • Malaika mwenye nguvu akiwa na kitabu kidogo cha kukunjwa (1-7)

      • “Hakuna kukawia tena” (6)

      • Siri takatifu itakamilika (7)

    • Yohana ala kile kitabu kidogo cha kukunjwa (8-11)

  • 11

    • Mashahidi wawili (1-13)

      • Watabiri kwa siku 1,260 wakiwa wamevaa nguo za magunia (3)

      • Wauawa na kuachwa bila kuzikwa (7-10)

      • Warudishwa kwenye uhai baada ya siku tatu na nusu (11, 12)

    • Ole wa pili umepita, wa tatu unakuja (14)

    • Tarumbeta ya saba (15-19)

      • Ufalme wa Bwana wetu na wa Kristo wake (15)

      • Wale wanaoiharibu dunia wataharibiwa (18)

  • 12

    • Mwanamke, mtoto wa kiume, na joka (1-6)

    • Mikaeli apigana na yule joka (7-12)

      • Joka atupwa duniani (9)

      • Ibilisi anajua kwamba ana kipindi kifupi (12)

    • Joka amtesa mwanamke (13-17)

  • 13

    • Mnyama-mwitu mwenye vichwa saba atoka baharini (1-10)

    • Mnyama-mwitu mwenye pembe mbili atoka duniani (11-13)

    • Sanamu ya mnyama-mwitu mwenye vichwa saba (14, 15)

    • Alama na namba ya mnyama-mwitu (16-18)

  • 14

    • Mwanakondoo na wale 144,000 (1-5)

    • Ujumbe kutoka kwa malaika watatu (6-12)

      • Malaika katikati ya mbingu akiwa na habari njema (6, 7)

    • Wenye furaha ni wale wanaokufa katika muungano na Kristo (13)

    • Dunia yavunwa mara mbili (14-20)

  • 15

    • Malaika saba wakiwa na mapigo saba (1-8)

      • Wimbo wa Musa na wa Mwanakondoo (3, 4)

  • 16

    • Mabakuli saba ya hasira ya Mungu (1-21)

      • Yamwagwa duniani (2), baharini (3), kwenye mito na chemchemi (4-7), kwenye jua (8, 9), kwenye kiti cha ufalme cha mnyama-mwitu (10, 11), kwenye Mto Efrati (12-16), na hewani (17-21)

      • Vita vya Mungu, Har-magedoni (14, 16)

  • 17

    • “Babiloni Mkuu” ahukumiwa (1-18)

      • Kahaba mkubwa aketi juu ya mnyama-mwitu mwenye rangi nyekundu (1-3)

      • Mnyama-mwitu ‘aliyekuwako, lakini hayuko, na bado yuko karibu kupanda kutoka katika shimo refu lisilo na mwisho’ (8)

      • Pembe kumi kupigana na Mwanakondoo (12-14)

      • Pembe kumi kumchukia kahaba (16, 17)

  • 18

    • “Babiloni Mkubwa” aanguka (1-8)

      • “Tokeni kwake, watu wangu” (4)

    • Kuombolezea anguko la Babiloni (9-19)

    • Kushangilia mbinguni kwa sababu ya anguko la Babiloni (20)

    • Babiloni kutupwa baharini kama jiwe (21-24)

  • 19

    • Msifuni Yah kwa sababu ya hukumu zake (1-10)

      • Ndoa ya Mwanakondoo (7-9)

    • Aliyepanda farasi mweupe (11-16)

    • Mlo mkubwa wa jioni wa Mungu (17, 18)

    • Mnyama-mwitu ashindwa (19-21)

  • 20

    • Shetani afungwa kwa miaka 1,000 (1-3)

    • Wale watakaotawala pamoja na Kristo kwa miaka 1,000 (4-6)

    • Shetani afunguliwa, kisha aangamizwa (7-10)

    • Wafu wahukumiwa mbele ya kiti cheupe cha ufalme (11-15)

  • 21

    • Mbingu mpya na dunia mpya (1-8)

      • Hakuna kifo tena (4)

      • Mambo yote yafanywa kuwa mapya (5)

    • Yerusalemu jipya lafafanuliwa (9-27)

  • 22

    • Mto wa maji ya uzima (1-5)

    • Umalizio (6-21)

      • ‘Njoo! Uchukue maji ya uzima bure’ (17)

      • “Njoo, Bwana Yesu” (20)