Hamia kwenye habari

Hamia kwenye yaliyomo

Barua kwa Wagalatia

Sura

1 2 3 4 5 6

Muhtasari wa Yaliyomo

  • 1

    • Salamu (1-5)

    • Hakuna habari njema nyingine (6-9)

    • Habari njema aliyohubiri Paulo inatoka kwa Mungu (10-12)

    • Jinsi Paulo alivyogeuka na kazi yake ya mwanzoni (13-24)

  • 2

    • Paulo akutana na mitume huko Yerusalemu (1-10)

    • Paulo amrekebisha Petro (Kefa) (11-14)

    • Kutangazwa kuwa waadilifu kupitia imani tu (15-21)

  • 3

    • Tofauti kati ya matendo ya Sheria na imani (1-14)

      • Mwadilifu ataishi kupitia imani (11)

    • Ahadi kwa Abrahamu haikuwa kupitia Sheria (15-18)

      • Kristo, uzao wa Abrahamu (16)

    • Chanzo na kusudi la Sheria (19-25)

    • Wana wa Mungu kupitia imani (26-29)

      • Wazao wa Abrahamu, wale walio wa Kristo (29)

  • 4

    • Si watumwa tena, bali ni wana (1-7)

    • Paulo awahangaikia Wagalatia (8-20)

    • Hagari na Sara: maagano mawili (21-31)

      • Yerusalemu lililo juu, mama yetu, liko huru (26)

  • 5

    • Uhuru wa Kikristo (1-15)

    • Kutembea kwa roho (16-26)

  • 6

    • Kubebeana mizigo (1-10)

      • Kuvuna ulichopanda (7, 8)

    • Kutahiriwa si muhimu (11-16)

      • Kiumbe kipya (15)

    • Umalizio (17, 18)