Hamia kwenye habari

Hamia kwenye yaliyomo

Barua kwa Wakolosai

Sura

1 2 3 4

Muhtasari wa Yaliyomo

  • 1

    • Salamu (1, 2)

    • Shukrani kwa sababu ya imani ya Wakolosai (3-8)

    • Sala kwa ajili ya ukuzi wa kiroho (9-12)

    • Jukumu muhimu la Kristo (13-23)

    • Kazi ngumu ya Paulo kwa ajili ya kutaniko (24-29)

  • 2

    • Siri takatifu ya Mungu, Kristo (1-5)

    • Jihadharini na wadanganyifu (6-15)

    • Uhalisi ni wa Kristo (16-23)

  • 3

    • Utu wa zamani na utu mpya (1-17)

      • Viueni viungo vya mwili wenu (5)

      • Upendo, kifungo kikamilifu cha muungano (14)

    • Ushauri kwa familia za Kikristo (18-25)

  • 4

    • Ushauri kwa mabwana (1)

    • “Dumuni katika sala” (2-4)

    • Kutembea kwa hekima kuelekea walio nje (5, 6)

    • Salamu za mwisho (7-18)