Hamia kwenye habari

Hamia kwenye yaliyomo

Barua ya Yakobo

Sura

1 2 3 4 5

Muhtasari wa Yaliyomo

  • 1

    • Salamu (1)

    • Uvumilivu huleta furaha (2-15)

      • Sifa iliyojaribiwa ya imani (3)

      • Endelea kuomba ukiwa na imani (5-8)

      • Tamaa huongoza kwenye dhambi na kifo (14, 15)

    • Kila zawadi njema hutoka juu (16-18)

    • Kusikia na kutenda neno (19-25)

      • Mtu anayejitazama kwenye kioo (23, 24)

    • Ibada safi na isiyo na unajisi (26, 27)

  • 2

    • Upendeleo ni dhambi (1-13)

      • Upendo, sheria ya kifalme (8)

    • Imani bila matendo imekufa (14-26)

      • Roho waovu wanaamini na kutetemeka (19)

      • Abrahamu aliitwa rafiki ya Yehova (23)

  • 3

    • Kuufuga ulimi (1-12)

      • Wengi hawapaswi kuwa walimu (1)

    • Hekima kutoka juu (13-18)

  • 4

    • Usiwe rafiki ya ulimwengu (1-12)

      • Mpingeni Ibilisi (7)

      • Mkaribieni Mungu (8)

    • Onyo dhidi ya kiburi (13-17)

      • “Yehova akipenda” (15)

  • 5

    • Onyo kwa matajiri (1-6)

    • Mungu huwabariki wanaovumilia kwa subira (7-11)

    • Acheni “ndiyo” yenu iwe ndiyo (12)

    • Sala ya imani ina nguvu (13-18)

    • Kumsaidia mtenda dhambi arudi (19, 20)