Hamia kwenye habari

Hamia kwenye yaliyomo

Kitabu cha Yona

Sura

1 2 3 4

Muhtasari wa Yaliyomo

  • 1

    • Yona ajaribu kumkimbia Yehova (1-3)

    • Yehova aleta dhoruba kali (4-6)

    • Yona ndiye chanzo cha taabu (7-13)

    • Yona atupwa ndani ya bahari iliyochafuka (14-16)

    • Samaki mkubwa ammeza Yona (17)

  • 2

    • Yona asali akiwa ndani ya tumbo la samaki (1-9)

    • Yona atapikwa kwenye nchi kavu (10)

  • 3

    • Yona amtii Mungu na kwenda Ninawi (1-4)

    • Waninawi watubu baada ya kusikia ujumbe wa Yona (5-9)

    • Mungu aamua kutoangamiza Ninawi (10)

  • 4

    • Yona akasirika, atamani kufa (1-3)

    • Yehova amfundisha Yona kuhusu rehema (4-11)

      • “Je, una sababu nzuri ya kuwaka hasira?” (4)

      • Somo la mmung’unye (6-10)