Zaburi 117:1, 2

  • Mataifa yote yahimizwa yamsifu Yehova

    • Upendo mshikamanifu wa Mungu ni mkubwa (2)

117  Msifuni Yehova, enyi mataifa yote;+Mtukuzeni, enyi mataifa yote.*+   Kwa maana upendo wake mshikamanifu kutuelekea ni mkubwa;+Uaminifu+ wa Yehova unadumu milele.+ Msifuni Yah!*+

Maelezo ya Chini

Au “koo zote.”
Au “Haleluya!” “Yah” ni ufupisho wa jina Yehova.