Zaburi 124:1-8

  • “Kama Yehova hangekuwa pamoja nasi”

    • Ponyoka kutoka katika mtego uliovunjika (7)

    • ‘Jina la Yehova ni msaada wetu’ (8)

Wimbo wa Safari za Kupanda. Wa Daudi. 124  “Kama Yehova hangekuwa pamoja nasi”+ —Watu wa Israeli na waseme sasa—   “Kama Yehova hangekuwa pamoja nasi+Watu walipokuja kutushambulia,+   Basi wangetumeza tukiwa hai+Hasira yao ilipokuwa ikiwaka dhidi yetu.+   Kisha maji yangetufagilia mbali,Mafuriko yangetufunika.+   Maji yenye nguvu yangetulemea.   Yehova na asifiwe,Kwa maana hakututia katika meno yao kama mawindo.   Sisi* ni kama ndege aliyeponyokaKutoka katika mtego wa mwindaji;+Mtego ulivunjika,Nasi tukaponyoka.+   Msaada wetu uko katika jina la Yehova,+Muumba wa mbingu na dunia.”

Maelezo ya Chini

Au “Nafsi yetu.”