Zaburi 134:1-3

  • Kumsifu Mungu nyakati za usiku

    • “Inueni mikono yenu katika utakatifu” (2)

Wimbo wa Safari za Kupanda. 134  Msifuni Yehova,Enyi nyote watumishi wa Yehova,+Ninyi mnaosimama katika nyumba ya Yehova nyakati za usiku.+   Inueni mikono yenu+ katika utakatifu*Na mumsifu Yehova.   Yehova, Muumba wa mbingu na dunia,Na awabariki kutoka Sayuni.

Maelezo ya Chini

Au labda, “mahali patakatifu.”