WIMBO NA. 118 “Tusaidie Tuwe na Imani Zaidi” Chagua Rekodi ya Sauti “Tusaidie Tuwe na Imani Zaidi” Samahani, programu ya kupakia faili hiyo imeshindwa kupakia. Pakua Video Hii Onyesha Kama Maandishi Ficha Aina ya Maandishi (Luka 17:5) 1. Kwa sababu hatujakamilika, Mwelekeo wetu ni mbaya. Kuna dhambi itutatanishayo— Kutokuwa na imani kwako. (KORASI) Ee, Yehova, tupatie imani. Twakuomba, utusaidie, Kwa rehema unazotuonyesha. Nawe uheshimiwe zaidi. 2. Ili kukupendeza wewe vema, Ni lazima tuwe na imani. Kama ngao, imani hutulinda. Hatuhofu tunayokabili. (KORASI) Ee, Yehova, tupatie imani. Twakuomba, utusaidie, Kwa rehema unazotuonyesha. Nawe uheshimiwe zaidi. (Ona pia Mwa. 8:21; Ebr. 11:6; 12:1.) Inayotangulia Inayofuata Chapa Shiriki Shiriki “Tusaidie Tuwe na Imani Zaidi” ‘MWIMBIENI YEHOVA KWA SHANGWE’ “Tusaidie Tuwe na Imani Zaidi” (Wimbo Na. 118) Lugha ya Alama ya Tanzania “Tusaidie Tuwe na Imani Zaidi” (Wimbo Na. 118) https://assetsnffrgf-a.akamaihd.net/assets/ct/e781f8601f/images/syn_placeholder_sqr.png sjj 118