WIMBO NA. 135 Mwaliko Wenye Upendo wa Yehova: “Uwe na Hekima, Mwanangu” Chagua Rekodi ya Sauti Mwaliko Wenye Upendo wa Yehova: “Uwe na Hekima, Mwanangu” Samahani, programu ya kupakia faili hiyo imeshindwa kupakia. Pakua Video Hii Onyesha Kama Maandishi Ficha Aina ya Maandishi (Methali 27:11) 1. Binti na mwanangu, nipe moyo wako. Apate kuona yule mdhihaki. Nawe unitumikie kwa kupenda; Na ulimwengu uone wanipenda. (KORASI) Binti yangu, nawe mwanangu, Furahisha moyo wangu. Nitumikie kwa hiari, Na kusifu jina langu. 2. Nitumikie kwa shangwe na furaha. Ujapoanguka, Nitakuinua. Hata ukivunjwa moyo na yeyote, Kumbuka ninakupenda sikuzote. (KORASI) Binti yangu, nawe mwanangu, Furahisha moyo wangu. Nitumikie kwa hiari, Na kusifu jina langu. (Ona pia Kum. 6:5; Mhu. 11:9; Isa. 41:13.) Inayotangulia Inayofuata Chapa Shiriki Shiriki Mwaliko Wenye Upendo wa Yehova: “Uwe na Hekima, Mwanangu” ‘MWIMBIENI YEHOVA KWA SHANGWE’ Mwaliko Wenye Upendo wa Yehova: “Uwe na Hekima, Mwanangu” (Wimbo Na. 135) Lugha ya Alama ya Tanzania Mwaliko Wenye Upendo wa Yehova: “Uwe na Hekima, Mwanangu” (Wimbo Na. 135) https://assetsnffrgf-a.akamaihd.net/assets/ct/e781f8601f/images/syn_placeholder_sqr.png sjj 135