WIMBO NA. 45 Kutafakari kwa Moyo Wangu Chagua Rekodi ya Sauti Kutafakari kwa Moyo Wangu Samahani, programu ya kupakia faili hiyo imeshindwa kupakia. Pakua Video Hii Onyesha Kama Maandishi Ficha Aina ya Maandishi (Zaburi 19:14) 1. Mambo nitafakariyo; Nayo mawazo ya moyo,— Bwana, na yakupendeze, Nitembee nawe Bwana. Kila ninapolemewa, Nikosapo usingizi, Nikutafakari wewe, Na mambo yaliyo mema. 2. Mambo safi na ya kweli, Wema adili wowote, Mambo yasemwayo vema— Niyatafakari hayo Mawazo yako ni bora! Kamwe hayahesabiki. Mungu nitatafakari, Neno Lako sikuzote. (Ona pia Zab. 49:3; 63:6; 139:17, 23; Flp. 4:7, 8; 1 Tim. 4:15.) Inayotangulia Inayofuata Chapa Shiriki Shiriki Kutafakari kwa Moyo Wangu ‘MWIMBIENI YEHOVA KWA SHANGWE’ Kutafakari kwa Moyo Wangu (Wimbo Na. 45) Lugha ya Alama ya Tanzania Kutafakari kwa Moyo Wangu (Wimbo Na. 45) https://assetsnffrgf-a.akamaihd.net/assets/ct/e781f8601f/images/syn_placeholder_sqr.png sjj 45