WIMBO NA. 49

Kufurahisha Moyo wa Yehova

Kufurahisha Moyo wa Yehova

(Methali 27:11)

  1. 1. Mungu nadhiri twaweka;

    Kazi yako tutafanya.

    Kufanya mapenzi yako

    Hukufurahisha moyo.

  2. 2. ‘Mtumwako mwaminifu,’

    Sifa zako hutangaza.

    Anatulisha kiroho,

    Ili tukutumikie.

  3. 3. Tupe roho takatifu,

    Tuwe washikamanifu.

    Tufanye uyapendayo,

    Moyo wako ufurahi.