Nalisha Imani Yangu

Nalisha Imani Yangu

 

  1. 1. ‘Kweli hi’ ni njia sawa nifwate?’ Nauliza.

    Nilikuwa na maswali bila majibu,

    Nilivurugwa.

    Sasa nina hakika niko kwenye kweli.

    Nikabilipo mawazo mabaya,

    Ninachofanya:

    (KORASI)

    Nalisha imani yangu.

    Yehova, “Nisaidie

    Kulisha imani yangu.”

    Ananijibu na ananiwezesha

    Kuilisha,

    Oh imani,

    Oh imani.

  2. 2. Shetani hufanya watu wasiwe na utambuzi.

    Najua sitaweza kukabiliana

    Pasipo Yehova.

    Sitadanganywa nisije nikapotea.

    Neno la Yehova ni hakika.

    Na sina mashaka!

    (KORASI)

    Nalisha imani yangu.

    Yehova, “Nisaidie

    Kulisha imani yangu.”

    Ananijibu na ananiwezesha

    Kuilisha,

    Oh imani,

    Oh imani.

    (DARAJA)

    Labda andiko la kutafakari,

    Mazungumzo na wimbo

    Mzuri majibu ya sala yangu siku nzima

    Najilisha.

    (KORASI)

    Nalisha imani yangu.

    Yehova, “Nisaidie

    Kulisha imani yangu.”

    Daima hujibu naye ananiwezesha

    Kuilisha,

    Oh imani,

    Oh imani,

    Kuilisha,

    Oh imani,

    Oh imani.