Familia ya Yehova

Familia ya Yehova

 

  1. 1. Ni shida, kupata rafiki—

    Wa kushikamana naye hadi mwisho.

    Nilitamani kupata marafiki

    Tuwe karibu kama familia.

  2. 2. Nimewapata. Hatimaye

    Watu wa Mungu wa kweli; Nahisi kupendwa.

    Sasa mimi ni wa thamani sana.

    Nimeipata; Familia ya Yehova.

    (DARAJA)

    Sasa nina ndugu na dada; mama na baba,

    Wakubwa kwa wadogo, watu kutoka

    Mataifa yote na kabila na lugha.

    Tunapenda familia ya Yehova.

  3. 3. Tunapendana; kwa umoja.

    Twathamini kujua sisi ni sehemu ya

    Familia moja ya pekee.

    Tunapenda familia ya Yehova.

    (DARAJA)

    Twatoka kila lugha mataifa yote.

    Tunapenda familia ya Yehova.

  4. 4. Mungu ataka tumkaribie.

    Katika familia; na anatupenda.

    Nawazia tutaishi milele,

    Tuwe sehemu ya watu wa Yehova—

    Watu wa familia yake,

    Ya peke’,

    Ya peke’.