Kuwa Marafiki Tena

Kuwa Marafiki Tena

 

  1. 1. Siku nyingi, ninawaza.

    Nimeumizwa moyoni.

    Nalemewa na kinyongo,

    Ninajua. Kwa kweli.

    Hili si sawa.

    (KORASI)

    Lakini sasa ni muda,

    Wa kuondoa kinyongo,

    Ili nifanye amani,

    Tuwe tena, marafiki.

  2. 2. Hata iwe ni vigumu,

    Nasamehe nasahau,

    Mambo hayo si makubwa

    Kama upendo—kutoka

    Kwa Yehova!

    (KORASI)

    Lakini sasa ni muda,

    Wa kuondoa kinyongo,

    Ili nifanye amani,

    Tuwe tena, marafiki.

    (DARAJA)

    Nitamwendea.

    Kwa haraka, sitangoja.

    Ni wakati wetu

    Turudishe, urafiki.

  3. 3. Na Yehova atupenda.

    Anataka tupatane.

    Na furaha, nina shangwe.

    Ninaposamehe na hata.

    Kusahau.

    (KORASI)

    Lakini sasa ni muda,

    Wa kuondoa kinyongo,

    Ili nifanye amani,

    Tuwe tena, marafiki,

    Tuwe tena, marafiki.

    Nitamwendea.