Hamia kwenye habari

Hamia kwenye yaliyomo

Anza Kusoma Biblia

Anza Kusoma Biblia

Unaweza kufurahia kusoma Biblia! Yafuatayo ni madokezo yanayoweza kukusaidia kuanza. Chagua habari inayokufurahisha, kisha usome maandiko yaliyoonyeshwa.

Watu Maarufu na Hadithi

Hekima kwa Ajili ya Maisha ya Kila Siku

Unapohitaji Msaada ili Kukabiliana na . . .

Mambo Ambayo Biblia Inasema Kuhusu . . .

DOKEZO: Ili kupata muktadha wa maandiko yaliyotajwa hapo juu, soma sura nzima ambazo mistari hiyo inapatikana. Tumia chati ya “Fuatilia Usomaji Wako wa Biblia” iliyo mwishoni mwa kitabu hiki ili kutia alama kila sura unapomaliza kuisoma. Jiwekee lengo la kusoma sehemu fulani ya Biblia kila siku.