Msikilize Mungu Uishi Milele

Muumba anataka kutuongoza, kutulinda na kutubariki.

Utangulizi

Kwa sababu anawapenda wanadamu, Mungu anatufundisha njia bora ya kuishi.

Tunamsikiliza Mungu Jinsi Gani?

Tunahitaji kujua kile tunachopaswa kufanya na ni nani watakaotusaidia kufanya hivyo.

Mungu wa Kweli ni Nani?

Tunaweza kujifunza jina lake na baadhi ya sifa zake.

Maisha Yalikuwaje Katika Paradiso?

Sehemu ya kwanza ya Biblia inafafanua jambo hilo.

Gharika Kubwa​​—Nani Alimsikiliza Mungu? Nani Hakumsikiliza?

Kuna tofauti gani katika mitazamo ambayo watu walionyesha?

Yesu Alikuwa Nani?

Kwa nini ni muhimu kujua kumhusu?

Dunia Itakuwa Paradiso Wakati Gani?

Biblia ilitabiri mambo ambayo yangetukia wakati huo ukikaribia.

Wanaomsikiliza Mungu Watapata Baraka Gani?

Watapata vitu ambavyo hungependa kukosa kamwe.

Je, Yehova Hutusikiliza?

Unaweza kumwambia mambo gani?

Unawezaje Kuwa na Familia Yenye Furaha?

Aliyeumba familia anatoa ushauri bora kabisa.

Tunapaswa Kufanya Nini ili Kumpendeza Mungu?

Kuna mambo ambayo anachukia na mengine ambayo anapenda.

Unawezaje Kuwa Mshikamanifu kwa Yehova?

Tamaa yako ya kuwa mwaminifu itaathiri maamuzi unayofanya.