SEHEMU YA 11 Je, Yehova Hutusikiliza? CHEZA Je, Yehova Hutusikiliza? Samahani, programu ya kupakia faili hiyo imeshindwa kupakia. Pakua Video Hii Onyesha Kama Maandishi Ficha Aina ya Maandishi Mungu husikiliza sala zetu. 1 Petro 3:12 Yehova ni ‘Msikiaji wa sala.’ (Zaburi 65:2) Anataka tuzungumze naye kutoka moyoni. Sali kwa Yehova, na si kwa mwingine yeyote. Kuna mambo mengi tunayoweza kutaja katika sala. 1 Yohana 5:14 Sali mapenzi ya Mungu yatendeke mbinguni na duniani. Sali katika jina la Yesu ili kuonyesha kwamba unathamini mambo aliyokufanyia. Mwombe Yehova akusaidie kufanya mema. Unaweza pia kusali kuhusu chakula, kazi, makao, mavazi, na afya. Inayotangulia Inayofuata Chapa Shiriki Shiriki Je, Yehova Hutusikiliza? MSIKILIZE MUNGU UISHI MILELE Je, Yehova Hutusikiliza? Lugha ya Alama ya Tanzania Je, Yehova Hutusikiliza? https://cms-imgp.jw-cdn.org/img/p/1102011090/univ/art/1102011090_univ_sqr_xl.jpg ll 11