SEHEMU YA 13 Tunapaswa Kufanya Nini ili Kumpendeza Mungu? CHEZA Tunapaswa Kufanya Nini ili Kumpendeza Mungu? Samahani, programu ya kupakia faili hiyo imeshindwa kupakia. Pakua Video Hii Onyesha Kama Maandishi Ficha Aina ya Maandishi Epuka mambo mabaya. 1 Wakorintho 6:9, 10 Ikiwa tunampenda Yehova, hatutafanya mambo ambayo anachukia. Yehova hataki tuibe, tulewe, au tutumie dawa za kulevya. Mungu anachukia kuua, kutoa mimba, na ngono kati ya watu wa jinsia moja. Hataki tuwe wenye pupa au tupigane na wengine. Hatupaswi kuabudu sanamu wala kuwasiliana na roho waovu. Katika dunia itakayokuwa Paradiso, hakutakuwa na watu wanaofanya mabaya. Fanya mema. Mathayo 7:12 Ili tumpendeze Mungu, tunapaswa kujitahidi kuwa kama yeye. Waonyeshe wengine upendo kwa kuwa mwenye fadhili na mkarimu. Uwe mnyoofu. Uwe mwenye rehema na mwenye kusamehe. Waambie wengine kumhusu Yehova na njia zake.—Isaya 43:10. Inayotangulia Inayofuata Huenda Ukapenda Pia KUTUHUSU Kwa Nini Ujifunze Biblia? Biblia inawapa mamilioni ya watu ulimwenguni pote majibu ya maswali muhimu maishani. Je, ungependa kuwa mmoja wao? Chapa Shiriki Shiriki Tunapaswa Kufanya Nini ili Kumpendeza Mungu? MSIKILIZE MUNGU UISHI MILELE Tunapaswa Kufanya Nini ili Kumpendeza Mungu? Lugha ya Alama ya Tanzania Tunapaswa Kufanya Nini ili Kumpendeza Mungu? https://cms-imgp.jw-cdn.org/img/p/1102011092/univ/art/1102011092_univ_sqr_xl.jpg ll 13