SEHEMU YA 12 Unawezaje Kuwa na Familia Yenye Furaha? CHEZA Unawezaje Kuwa na Familia Yenye Furaha? Samahani, programu ya kupakia faili hiyo imeshindwa kupakia. Pakua Video Hii Onyesha Kama Maandishi Ficha Aina ya Maandishi Upendo ndio siri ya kuwa na furaha katika familia. Waefeso 5:33 Kulingana na sheria ya Mungu, ndoa inapaswa kuwa kati ya mwanamume mmoja na mwanamke mmoja. Mume mwenye upendo anamtendea mke wake kwa wororo na uelewaji. Mke anapaswa kushirikiana na mume wake. Watoto wanapaswa kuwatii wazazi wao. Uwe mwenye fadhili na mwaminifu, usiwe mkatili au kukosa uaminifu. Wakolosai 3:5, 8-10 Neno la Mungu linasema kwamba mume anapaswa kumpenda mke wake kama mwili wake mwenyewe na kwamba mke anapaswa kumheshimu sana mume wake. Ni kosa kufanya ngono nje ya ndoa. Ni kosa pia kuoa wake wengi. Neno la Yehova linafundisha familia jinsi zinavyoweza kuwa na furaha. Inayotangulia Inayofuata Chapa Shiriki Shiriki Unawezaje Kuwa na Familia Yenye Furaha? MSIKILIZE MUNGU UISHI MILELE Unawezaje Kuwa na Familia Yenye Furaha? Lugha ya Alama ya Tanzania Unawezaje Kuwa na Familia Yenye Furaha? https://cms-imgp.jw-cdn.org/img/p/1102011091/univ/art/1102011091_univ_sqr_xl.jpg ll 12