SEHEMU YA 14 Unawezaje Kuwa Mshikamanifu kwa Yehova? CHEZA Unawezaje Kuwa Mshikamanifu kwa Yehova? Samahani, programu ya kupakia faili hiyo imeshindwa kupakia. Pakua Video Hii Onyesha Kama Maandishi Ficha Aina ya Maandishi Amua kuwa upande wa Mungu. 1 Petro 5:6-9 Epuka desturi zozote zinazopingana na Biblia. Unahitaji ujasiri ili kufanya hivyo. Usijiingize katika siasa za mataifa; mataifa hayo hayaungi mkono Yehova na Ufalme wake. Fanya uamuzi mzuri—msikilize Mungu. Mathayo 7:24, 25 Shirikiana na Mashahidi wa Yehova; nao watakusaidia kumkaribia Mungu. Endelea kujifunza kumhusu Mungu na ujitahidi kutii amri zake. Imani yako itakapokuwa yenye nguvu zaidi, ujiweke wakfu kwa Yehova na ubatizwe.—Mathayo 28:19. Msikilize Mungu. Soma Biblia, na uwaombe Mashahidi wa Yehova wakusaidie kuielewa. Kisha, ufanye mambo unayojifunza. Ukifanya hivyo, utaishi milele.—Zaburi 37:29. Inayotangulia Inayofuata Huenda Ukapenda Pia MIKUTANO Ni Nini Hutendeka Katika Jumba la Ufalme? Jionee mwenyewe mambo ambayo hutendeka ndani ya Jumba la Ufalme. KUTUHUSU Tuma Ombi la Kutembelewa na Mashahidi wa Yehova Unaweza kujifunza habari fulani inayotegemea Biblia au ushiriki mpango wa kujifunza Biblia bure pamoja na Mashahidi wa Yehova. KUTUHUSU Mikutano ya Kutaniko ya Mashahidi wa Yehova Tafuta mahali tunapokutana na jinsi tunavyoabudu. Chapa Shiriki Shiriki Unawezaje Kuwa Mshikamanifu kwa Yehova? MSIKILIZE MUNGU UISHI MILELE Unawezaje Kuwa Mshikamanifu kwa Yehova? Lugha ya Alama ya Tanzania Unawezaje Kuwa Mshikamanifu kwa Yehova? https://cms-imgp.jw-cdn.org/img/p/1102011093/univ/art/1102011093_univ_sqr_xl.jpg ll 14